Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Hamjambo TEC, Slaa, mdudu, mwambulukuku na misukule wenu?
 
hao ni wazima, na ndio wameibuka washindi, kama hujajua.
Ngoma bila kulewa tutaichezaje.


Leo nimewaona wakisaini mikataba.

Sema nyuso zimewashuka utafikiri soksi zilizojaa matope. Uliwaona?
 
kama wamebadili vipengele, kwanini usisainiwe? hapo sasa tumecheza wimbo mmoja baada ya kusikiliza maoni yetu na kuyafanyia kazi.
Kipengele cha mkataba upi kibadilishwe na mikataba yenyewe ilikuwa haipo kabisa.

Unaota?
 
Kipengele cha mkataba upi kibadilishwe na mikataba yenyewe ilikuwa haipo kabisa.

Unaota?
ajuza, kama haukuwa mkataba, ulipelekwaje bungeni sasa? na mbona hata wabunge wako na spika walisema ni mkataba? mlishindwa kujipanga ndio maana mlipishana wenyewe hadi sasa wewe unapishana na wenzio, viongozi wako walisema ni mkataba na ndio maana ulipelekwa bungeni, wakati huohuo wengine wanasema ni makubaliano, makubaliano huwa yahapelekwa bungeni?, sasa hata ninyi wenyewe mlikuwa hamjui na hadi sasa hamjui nini mlipeleka bungeni, ndio maana tunasema shukrani kwa kina mdude na wenzake, wamelikomboa taifa toka kwenye vichwa kama vya kwako hivyo. ukute mtu kama wewe ndio anakuwa mshauri wa mama, ndio maana hajawasikiliza, kasikiliza mdude na wenzake.
 
ajuza, kama haukuwa mkataba, ulipelekwaje bungeni sasa? na mbona hata wabunge wako na spika walisema ni mkataba? mlishindwa kujipanga ndio maana mlipishana wenyewe hadi sasa wewe unapishana na wenzio, viongozi wako walisema ni mkataba na ndio maana ulipelekwa bungeni, wakati huohuo wengine wanasema ni makubaliano, makubaliano huwa yahapelekwa bungeni?, sasa hata ninyi wenyewe mlikuwa hamjui na hadi sasa hamjui nini mlipeleka bungeni, ndio maana tunasema shukrani kwa kina mdude na wenzake, wamelikomboa taifa toka kwenye vichwa kama vya kwako hivyo. ukute mtu kama wewe ndio anakuwa mshauri wa mama, ndio maana hajawasikiliza, kasikiliza mdude na wenzake.
Ile ni IGA kijana, ni tofauti kabisa na Mikataba iliyosainiwa leo.


Soma kijana kabla hujaanza kubisha kijinga.

Mama'ko pia huwa unamwita ajuza, au yeye bado anadai mileage?
 
Ile ni IGA kijana, ni tofauti kabisa na Mikataba iliyosainiwa leo.


Soma kijana kabla hujaanza kubisha kijinga.

Mama'ko pia huwa unamwita ajuza, au yeye bado anadai mileage?
unaona nimekuzeesha kukuita ajuza, basi nikuite "demu". fresh. tukirudi kwenye hoja, nikiita wanaccm wenzio hapo watakwambia ule ni mkataba, wewe utasema makubaliano, na hadi leo hamjui kile kilikuwa ni nini na hata baada ya kusoma kesi ya mwabukusi. pia, tunajua bungeni huwa inapelekwa mikataba tu. unajiona namna mlivyovurugana hata mlikuwa hamjui mnafanya nini? na samia kawatoa nishai.
 
unaona nimekuzeesha kukuita ajuza, basi nikuite "demu". fresh. tukirudi kwenye hoja, nikiita wanaccm wenzio hapo watakwambia ule ni mkataba, wewe utasema makubaliano, na hadi leo hamjui kile kilikuwa ni nini na hata baada ya kusoma kesi ya mwabukusi. pia, tunajua bungeni huwa inapelekwa mikataba tu. unajiona namna mlivyovurugana hata mlikuwa hamjui mnafanya nini? na samia kawatoa nishai.
mama'ko unamuita demu? Bado anadai?
 
-Vipi ishu ya bandari kupanda thamani?
-Vipi ishu ya mbia wetu kushindwa kulekeleza yalipo kwenye mkataba na bado akaendelea kuwepo, kwasababu mkataba unambeba?
-Hivi unahisi kwa matrilion yanayoibiwa kwa mwaka Tanzania tunashindwa kuendeleza bandari, mfano DP world wanawekeza dola million 500 ambayo nisawa kwa mwanzo je linganisha na pesa zilizoibiwa mwaka jana 2,zaidi ya trillion 2?
-Kama hatuna wataaalamu je chuo cha bandari na maprofesor wake wanafanya kazi gani?
-Kwanini tusilete wataaalamu na technologia changamfu na basic tukabaki na bandari?
-Kwanini tuuze bandari bila ukomo na kuziwepo room ya kujitoa kwasababu wanadamu hubadilika wakitubadilikia tutamlaumu nani?
-Kwanini wenye nchi wasisikilizwe wananchi kwani bandari ni ishu ya kifamilia?
-Kwani kama sisi ni kizazi cha kijinga tumeshinda kufanya kwa uadilifu,kwanini tusiviifadhi kwa vizazi vijavyo kwa sababu katikati ya wajinga yamkini akawepo mwelevu hata mmoja,kwani nyerere asingeviifadhi wewe ungevikuta?
-Watoto wetu watafaidi nini?watajivunia na nini? Kama tunaangalia leo tu?
-Trillion 26 ya mwaka 2023? Ni dawa kithamani na trillion 26 za mwaka 2070?2100 ? 3000?
- unaonaje tukatoa rangi ya njano,kijani,na blue kwenye bendera ya taifa ukabaki nyeusi kwasababu migodi tumeuza,misitu tumeuza na ardhi ,na Bahari na maziwa ndo tunauza hivyo yani,
Mwisho wewe unalipwa shi ngapi? Kuteteza huu ufuska?
Habari za asubuhi. Jikumbushe uliyoyaandika siku za nyuma na majibu yaliyotolewa jana.
 
Back
Top Bottom