Hujui lolote wewe shabiki maandazi kima wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja na wafanyakazi wao au wataendelea na waliopo?Kile kitendo cha Rais kusema Mifumo haisomani kati ya TPA na TRA tu hapo nikajua kuna Mchwa weusi wanajilia pesa miaka mingi huku bado Quality of services bandarini ni poor.
Sasa ni muda muafaka kuwakaribisha DP world kutusaidia sisi wafanya biashara ku import mizigo yetu kwa haraka wakati huo Kutakua na fursa za ajira na gawio la faida serikalini lililo wazi.
Huko kooote umeandika vizuri kufika hapa kumtaja huyu mzee tena aliyekuwa rais hadi kufa kwa matusi hivyo..Wajinga wajinga kama Magufuli
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
MUNGU Akubariki sana kwa UELEWA huuHili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Sisi tuna deal na mkataba, sihitaji nijue bandari ikoje kujua mkataba ni wakuwagawia mabwana zenu waarabu sehemu ya Tanganyika na kuilinda Zanzibar dhidi ya mabwana zenu waarabu.Wewe unawapotezea watu muda tu. Upo very shallow, hata nilichokiandika hujakisoma.
Wewe hata bandari huijuwi imekaaje.
Duc! Achana na huyu pimbi hajui chochote zaidi ya ushabiki mavimavi!Sisi tuna deal na mkataba, sihitaji nijue bandari ikoje kujua mkataba ni wakuwagawia mabwana zenu waarabu sehemu ya Tanganyika na kuilinda Zanzibar dhidi ya mabwana zenu waarabu.
Pili siwezi soma utumbo wako unao ongozwa na mihemko ya udini katika kufikiri
Lovelovie! Unajua hicho kifaizafoxy ni kipimbi mno! Yeye anajidai kana kwamba hiyo DP World ni ya mamake! Kumbe hajui chochote zaidi ya kujichatua. Angalia hata post zake hajui hata kuandika kwa ufasaha! Huyu ni wa kumkabili kwa kila namna. Mbona kabla ya ujio wao hakuwahi kuwasifia kwa lolote. Huyu ni kima tuu na boya haswa!Kazi kweli kweli
Na analazimisha watu waamini kile anaamini yeye.Lovelovie! Unajua hicho kifaizafoxy ni kipimbi mno! Yeye anajidai kana kwamba hiyo DP World ni ya mamake! Kumbe hajui chochote zaidi ya kujichatua. Angalia hata post zake hajui hata kuandika kwa ufasaha! Huyu ni wa kumkabili kwa kila namna. Mbona kabla ya ujio wao hakuwahi kuwasifia kwa lolote. Huyu ni kima tuu na boya haswa!
Lovolovie! Huyo ni hayawani ana mawazo mgando na udini uliomjaa yeye anafikiri DP World watajenga misikiti na madrasa. Ni mpuuzi zaidi ya hayawani aka limbukeni.Na analazimisha watu waamini kile anamini yeye.
Mjinga pekee ndio atakubaliana na huo mkataba.
Yeye sijui tumuweke kundi la watu wazima ovyo😁😁😁.
😂😂😂😂😂😂WuuuhLovolovie! Huyo ni hayawani ana mawazo mgando na udini uliomjaa yeye anafikiri DP World watajenga misikiti na madrasa. Ni mpuuzi zaidi ya hayawani aka limbukeni.
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
...
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
...
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.