Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Nenda Dubai,ukaangalie waislamu wslivyoendelea,kutoka a fishing village(!kijiji cha uvuvi),mpaka kuwa Global City(Jiji la Dunia),na hawa mafuta,wanategeme bandari tu,na imewainua kiuchumi.
ni kweli wanategemea bandari tu. ndio maana waliogopa kama tanzania tutajenga bandari ya kueleweka, mfano ya bagamoyo, meli zitakuja moja kwa moja toka china hadi bongo, hazitapitia dubai kwahiyo bandari yao itakosa soko. ndio maana waliamua kutupunguza speed kwa kutucontrol kwa namna hii. kwahiyo sasa wao ndio watakuwa wanaamua bandari zetu ziendelee au zisiendelee, tujenge zingine au tusijenge, manake wamepiga marufuku kuendeleza bandari ingine hadi wao waambiwe.
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Dah

"Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo."
 
ni kweli wanategemea bandari tu. ndio maana waliogopa kama tanzania tutajenga bandari ya kueleweka, mfano ya bagamoyo, meli zitakuja moja kwa moja toka china hadi bongo, hazitapitia dubai kwahiyo bandari yao itakosa soko. ndio maana waliamua kutupunguza speed kwa kutucontrol kwa namna hii. kwahiyo sasa wao ndio watakuwa wanaamua bandari zetu ziendelee au zisiendelee, tujenge zingine au tusijenge, manake wamepiga marufuku kuendeleza bandari ingine hadi wao waambiwe.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
We ni jinga hlf nahc Malaya au kahaba mtukutu huna adabu na mshenzi huwezi muita mtu anayeweza kuwa bb yako Kwa hilo jina,shenzi kabisa km unasali Ibada yako ni ya kipepo nguruwe pori wewe
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Safi sana kwa lugha nyepesi tujiandae kwa ukolini mambo leo
 
Sawa
Ila sisi midume tumeahidiwa mabikira sabini
Wewe huko kwa Mwenyezi umeahidiwa nn?
Mwanamke Hana urithi!
Huyo mwanamme wa kiislamu haingii peponi bila kibali cha mama mzazi(mwanamke huyo),fikiria boss anajilipa atakavyo,huyo ndio mwanamke(boss),yeye atajiamulia ajilipe atakavyo.
 
Sawa
Ila sisi midume tumeahidiwa mabikira sabini
Wewe huko kwa Mwenyezi umeahidiwa nn?
Mwanamke Hana urithi!
Mwanamme haingii Peponi katika uislamu,bila kibali cha mama mzazi(mwanamke),ukimtendea ubaya mama mzazi(!mwanamke),!Pepo hata harufu yake huisikii.
Kwa hiyo ujuwe na uelewe hao mabikira 70,katika uislamu huwapati mpaka Mama(mwanamke)awe radhi(akupe kibali),ndio uingie.Kwa hiyo Mama(mwanamke),ndio boss wa kumuingiza mwanamme Peponi,sasa fikiria akiwa ndio ana kibali mama (mwanamke) cha kumuingiza mwanamme Peponi,yeye mwenye kibali atajilipa peponi anavyotaka yeye.
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Mama wa kambo siyo mama. Alimuua baba ili apate nafasi ya kutapanya mali zetu na waarabu.
 
Tajiri hajawahi kuwa na Mpango wa kumnufaisha Maskini ... ( Sijui kama una upeo wa kunielewa ) Lakini Ukweli ni Kwamba lengo kuu la Tajiri ni kuhakikisha Maskini anakuwa Maskini zaidi . UNAJIDANGANYA TU , FURTHER MORE JPM aliifahamu Mifumo ya Dunia , Alifahamu Siri ya kuendelea kwetu kuwa Maskini licha ya UTAJIRI tuliobarikiwa . WATANZANIA NINYI WENYE HULKA YA KUSIFIA SIFIA TU NI MZIGO KWA TAIFA . Tena usidanganyike Kwa habari ya Uingereza kuendeshwa na hao jamaa ni propaganda tu . UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI TU , VITA YA KIUCHUMI WATU WANA SIRAHA ZA VIWANGO ndiyo maana ni ngumu kuipigana . Kwako utaona ni FURSA tu lakini ndivyo umeshapigwa Kiuchumi .
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Nakuheshim lakini kwa hili umetumia mda wako bure kuandika utumbo nimerudia mara 3 kusoma lakini hakuna point ..... naomba nikulize nani kakwambia sisi tuna mashaka na ufanisi wa DP wold kuhusu ubora wao? Kilio chetu kikubwa ni mkataba je? Mikataba nirafiki nani kaziona na kuzisoma akja na summary hapa tukajua ukweli?

Kwanini mna tumia nguvu kubwa kueleza vitu vidogo yani wew na akilizako unatuelez ubora wa DP wold wakati hata mitandaoni tunaziona kwanini usitueleze kuhusu mikataba kama kweli wew ni mzalendo na unatutakia mema ........ kuna kiongozi alisha wahi sema sisi ni kichwa cha mwendawazimu bado natafakari hili neno mana nikama kuna kaukweli iviii

Kwanza walitupinga wakasema hatutaki maendeleo wakati sisi tuna maswali machache 1:UKOMO WA MKATABA
2:ENEO GANI WANA PEWA
3:KWANINI MKATABA HAUVUNJIKI
4:KWANINI TUKITAKA KUENDELEZA BANDARI ZINGINE NDANI YA NCHI YETU TUOMBE KIBALI TOKA KWAO
5: SWALA LA ULINZI NA USALAMA kuna kipengele kina waruhusu DP wold kuja na askari wao

Ukisha nijibu haya maswali Leo Leo nakunga mkono
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
 

Attachments

  • 69480.jpg
    69480.jpg
    14.9 KB · Views: 1
Ila wewe kilaza lisilojua hata kuandika kwa ufasaha ni kujipendekeza tuu Huna lolote boya wewe
Mradi unanifatilia na ujumbe unakufikia, lengo langu limetimia.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Naona alshabab, Alkaida, Boko haram wanakaribishwa hadi sebuleni

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Unawakaribisha wewe? Maana Dubai pale wanakaribisha dunia nzima kufanya biashara na sijawahi kuwasikia kwao hao wote unaowataja.

Unafahamu hao uliowataja wameanzishwa na nani?

Mama ameupiga mwingi kwa wajomba zake.
 
Unawsksribusha wewe? Maana Dybqi oake wanaksridha dunia nzimw kufanya biashara na dijadikiw kwao kuhusu hao wote unaowataja.

Unafahamu hao uliowataja wameanzishwa na nani?


Mama ameupiga mwingi kwa wajomba zake.
Huyu mwehu hajui hata kuandika kwa ufasaha! Boya kweli
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Na huu udini wako pepo utaiskia kwenye matako tuu
 
Back
Top Bottom