acha matusi poyoyoy ni ho waliokuzaa weweNi mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha matusi poyoyoy ni ho waliokuzaa weweNi mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Ndo uwape.miele?Kwa sababu hatuwezi. Miaka yote tumeshindwa. Wacha wanaoweza wafanye huku wanatufundisha.
Zanzibar wewe inakuhusu nini?Kama ni hivyo uonavyo kwanini hao dp world wasiingie mkataba na huko Zanzibar bandari zao ili na wao wafaidike!!?
Unataka wakaribishwe wale wanaolazimisha kila mtu kutatuliwa malinda? Unawapenda wale wanaolazimisha kila nchi ikubaliane na LGBTQ?Naona alshabab, Alkaida, Boko haram wanakaribishwa hadi sebuleni
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Je hiki nini nini? Naona ni msamiati mpya kwangu.mabarara,
|>| DP WORLD: Mkataba unaoongelewa sana huu hapa (Kiswahili)Weka huo mkataba hapa,ili tupate hadidu za rejea
Hivi wewe mkataba umeusoma au unaota?Ndo uwape.miele?
Kwahiyo ww huwezi na kizazi chako chote hamuwezi ?
Ok usiseme wengine na usiuze bandari kama mali ya familia kwa kigezo ww huwezi?
Ulianza vizuri lakini ikaonekana Kama DpW walikualika na wewe na uku mwisho ndo ukaaribu kabisa,Magufuli hayupo la bandari ni la Samia ujinga wa Magu sijui uko wapi?? Unahangaika kusafisha puru isitoe harufu ya mavi wakati ndiyo asili yake hauoni ni kupoteza muda tu?Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.
jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Nyie tunawajua ni watumwa wa waarabu, si ajabu mnataman kuwa waarabu kama mabwana zenu.Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.
jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.
jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Hapa ndipo nakuonaga DISHI LIMEYUMBATukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Wewe unawapotezea watu muda tu. Upo very shallow, hata nilichokiandika hujakisoma.Nyie tunawajua ni watumwa wa waarabu, si ajabu mnataman kuwa waarabu kama mabwana zenu.
Nendeni huko Oman wakawatawale au wapeni kisiwa chenu cha zanzibar