Ngedere1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2022
- 369
- 785
Mafunzo haya 100years!!?hadi vilembwe mtafundishwawanatufundisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafunzo haya 100years!!?hadi vilembwe mtafundishwawanatufundisha
Agent kazini!!Halafu wewe ndiyo upewe bandari uendeshe? Maawe.
twasubiri mambo hayo mazuriHili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.
jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Sifahamu, kwangu sikioni.
Kakurupuka tenaHivi wewe mkataba umeusoma au unaota?
Usome huu hapa, halafu nioneshe hiyo milele yako ikowapi? Bofya chini hapo👇🏾
.
DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)
MAKUBALIANO YA KISERIKALI KATI YA: ΤHΕ UNITED REPUBLIC 0F TANZANIA AND THE EMIRATE 0F DUBAI https://www.jamiiforums.com/attachments/dar_port_contract_mkataba-pdf.2682567/ UTANGULIZI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (“Tanzania”) na...www.jamiiforums.com
Kwanini mnakuwa wajinga hivi? Mkataba upo haujausoma unakurupuka tu eti milele.
Halafu watu kama wewe ndiyo mtaweza kuendesha bandari bila kusimamiwa ?
Wewe ndo mkurupukaji ....Hivi wewe mkataba umeusoma au unaota?
Usome huu hapa, halafu nioneshe hiyo milele yako ikowapi? Bofya chini hapo👇🏾
.
DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)
MAKUBALIANO YA KISERIKALI KATI YA: ΤHΕ UNITED REPUBLIC 0F TANZANIA AND THE EMIRATE 0F DUBAI https://www.jamiiforums.com/attachments/dar_port_contract_mkataba-pdf.2682567/ UTANGULIZI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (“Tanzania”) na...www.jamiiforums.com
Kwanini mnakuwa wajinga hivi? Mkataba upo haujausoma unakurupuka tu eti milele.
Halafu watu kama wewe ndiyo mtaweza kuendesha bandari bila kusimamiwa ?
Wewe ndo mkurukaji soma hapoHivi wewe mkataba umeusoma au unaota?
Usome huu hapa, halafu nioneshe hiyo milele yako ikowapi? Bofya chini hapo👇🏾
.
DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)
MAKUBALIANO YA KISERIKALI KATI YA: ΤHΕ UNITED REPUBLIC 0F TANZANIA AND THE EMIRATE 0F DUBAI https://www.jamiiforums.com/attachments/dar_port_contract_mkataba-pdf.2682567/ UTANGULIZI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (“Tanzania”) na...www.jamiiforums.com
Kwanini mnakuwa wajinga hivi? Mkataba upo haujausoma unakurupuka tu eti milele.
Halafu watu kama wewe ndiyo mtaweza kuendesha bandari bila kusimamiwa ?
KIFUNGU CHA 24Hivi wewe mkataba umeusoma au unaota?
Usome huu hapa, halafu nioneshe hiyo milele yako ikowapi? Bofya chini hapo👇🏾
.
DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)
MAKUBALIANO YA KISERIKALI KATI YA: ΤHΕ UNITED REPUBLIC 0F TANZANIA AND THE EMIRATE 0F DUBAI https://www.jamiiforums.com/attachments/dar_port_contract_mkataba-pdf.2682567/ UTANGULIZI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (“Tanzania”) na...www.jamiiforums.com
Kwanini mnakuwa wajinga hivi? Mkataba upo haujausoma unakurupuka tu eti milele.
Halafu watu kama wewe ndiyo mtaweza kuendesha bandari bila kusimamiwa ?
Soma kifungu cha 5:4Kakurupuka tena
Wewe ndo mkurupukaji ....
Soma hapo ww kweli hauwezi
Wewe ndo mkurukaji soma hapo
KIFUNGU CHA 24
KUTORIDHISHWA, LUGHA NA VIAMBATANISHO
1. Nchi Wanachama hazijaonyesha kutoridhishwa na kifungu chochote cha Mkataba huu.
2. Viambatisho vyote au nyongeza kwa Mkataba huu, ambazo Nchi Wanachama zinaweza kutia saini mara kwa mara, zitakuwa sehemu muhimu ya mkataba huu.
3. Mkataba huu umeingiwa katika lugha ya Kiingereza. Kwa kuzingatia matumizi ya Mkataba huu (ikiwa ni pamoja na, taarifa zote, madai, maombi, taarifa au nyaraka nyingine au mawasiliano chini ya Mkataba huu) Nchi Wanachama zitatumia lugha ya Kiingereza.
Soma kifungu kidogo cha nne
Na DPNa mjombako?
Huna sababu yankujaza quotations. Weka kimoja usomeke ukishajibiwa weka. Kingine. Usifikiri paper ya. Mtihani hii. It's just a social media.Kakurupuka tena
Wewe ndo mkurupukaji ....
Soma hapo ww kweli hauwezi
Wewe ndo mkurukaji soma hapo
KIFUNGU CHA 24
KUTORIDHISHWA, LUGHA NA VIAMBATANISHO
1. Nchi Wanachama hazijaonyesha kutoridhishwa na kifungu chochote cha Mkataba huu.
2. Viambatisho vyote au nyongeza kwa Mkataba huu, ambazo Nchi Wanachama zinaweza kutia saini mara kwa mara, zitakuwa sehemu muhimu ya mkataba huu.
3. Mkataba huu umeingiwa katika lugha ya Kiingereza. Kwa kuzingatia matumizi ya Mkataba huu (ikiwa ni pamoja na, taarifa zote, madai, maombi, taarifa au nyaraka nyingine au mawasiliano chini ya Mkataba huu) Nchi Wanachama zitatumia lugha ya Kiingereza.
Soma kifungu kidogo cha nne
Bado tuu unaandika kimakosa mnoHili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Tulipigania Uhuru tuwe huru, wengine wanataka kuturudisha kwenye utumwa.Aisee tutake tusitake??
Kwa masharti yao??
Huu sasa ni ukoloni.
Naona unatangaza vita.
Sio uwekezaji tena.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mkuu mwsho anaye kuja kuteseka ni mwananchi wa hali ya chini mlipa kodi achaa tuone [emoji15][emoji849][emoji3064]hayo mahospital ya DP kama tutatibiwa bureeeee[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]-Vipi ishu ya bandari kupanda thamani?
-Vipi ishu ya mbia wetu kushindwa kulekeleza yalipo kwenye mkataba na bado akaendelea kuwepo, kwasababu mkataba unambeba?
-Hivi unahisi kwa matrilion yanayoibiwa kwa mwaka Tanzania tunashindwa kuendeleza bandari, mfano DP world wanawekeza dola million 500 ambayo nisawa kwa mwanzo je linganisha na pesa zilizoibiwa mwaka jana 2,zaidi ya trillion 2?
-Kama hatuna wataaalamu je chuo cha bandari na maprofesor wake wanafanya kazi gani?
-Kwanini tusilete wataaalamu na technologia changamfu na basic tukabaki na bandari?
-Kwanini tuuze bandari bila ukomo na kuziwepo room ya kujitoa kwasababu wanadamu hubadilika wakitubadilikia tutamlaumu nani?
-Kwanini wenye nchi wasisikilizwe wananchi kwani bandari ni ishu ya kifamilia?
-Kwani kama sisi ni kizazi cha kijinga tumeshinda kufanya kwa uadilifu,kwanini tusiviifadhi kwa vizazi vijavyo kwa sababu katikati ya wajinga yamkini akawepo mwelevu hata mmoja,kwani nyerere asingeviifadhi wewe ungevikuta?
-Watoto wetu watafaidi nini?watajivunia na nini? Kama tunaangalia leo tu?
-Trillion 26 ya mwaka 2023? Ni dawa kithamani na trillion 26 za mwaka 2070?2100 ? 3000?
- unaonaje tukatoa rangi ya njano,kijani,na blue kwenye bendera ya taifa ukabaki nyeusi kwasababu migodi tumeuza,misitu tumeuza na ardhi ,na Bahari na maziwa ndo tunauza hivyo yani,
Mwisho wewe unalipwa shi ngapi? Kuteteza huu ufuska?
Anakufundisha miaka [emoji817] are siliaz Faiza miaka [emoji817] achota aneemekaa yeye alafu wa Tanzania wako tayari kufundishika semaa wameona Tanganyika shamba la Bibi yaaani wawafundishe ili kesho wasije kuvuna teenaa [emoji35][emoji34][emoji35][emoji34] bora kuhamia korea kusini[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Kwa sababu hatuwezi. Miaka yote tumeshindwa. Wacha wanaoweza wafanye huku wanatufundisha.
KIFUNGU CHA 23Soma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
Nchi yetu haina maamuzi yoyote kwenye mali yetu na siyo mali ya viongozi hata kwa miaka elfuSoma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
******Soma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
*****Soma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
*****Soma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
*****Soma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
Soma kifungu cha 5:4
Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
Wanakula keki ya Taifa kwanza Waarabu wabinafsii sanaa wanatudharau sana watu weusiiWenzako wewe walipelekwa Dubai wamelamba asali wewe umepewa nini au ulikuwepo na wewe kwenye msafara?