Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa "udini" kama ni Uislam, basibhujakisea, mimi bi Mujslam kweli kweli.Na huu udini wako pepo utaiskia kwenye matako tuu
Na wanajua kudhibiti uwiziMi Waarabu nawakubali kwenye uwekezaji.
Sio kama Wachina
Nchi hii ukwel ni kwamba si nchi ya aman Bali ni nchi ya watu watulivu wasiojuaa mambo Kwa undani zaidi,, watanzania kumbukeni kuwa tunakoelekea mahalamia wote wanaokuj jua kbisa wanaingia Tanzania Kwa fujo kutokana na kigezo Cha sis kuwa tuna aman, baada ya miaka kumi mbele inchi hii nawambie haitakuwa na aman Tena kma tunavyojiita. AhxanteHili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Watu wa bandari wana ukwasi wa kutosha...Kile kitendo cha Rais kusema Mifumo haisomani kati ya TPA na TRA tu hapo nikajua kuna Mchwa weusi wanajilia pesa miaka mingi huku bado Quality of services bandarini ni poor.
Sasa ni muda muafaka kuwakaribisha DP world kutusaidia sisi wafanya biashara ku import mizigo yetu kwa haraka wakati huo Kutakua na fursa za ajira na gawio la faida serikalini lililo wazi.
Umelewa!! Kapumzike tafadhali,Ushungi kama wa mama'ke Yesu au siyo?
Hakuna mkataba wa IGA duniani usioweza kukosolewa. Mapoyoyo mnadanyana.
Umeshalewa ndugu,naomba ukapumzike sasa,pombe haziishi.Kwa "udini" kama ni Uislam, basibhujakisea, mimi bi Mujslam kweli kweli.
Hivi sababu zako za kuupinga mkataba wa ushirikiano kimaendeleo wa serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania ni zipi?
Mama ameupiga mwingi Kimataifa.
Mkuu, umeshapata msg ya crdb nadhani,piga kaziNa wanajua kudhibiti uwizi
Wale wezi,wavivu wakae pembeni
Wafanyakazi bandari walizidisha dharau,kufanya kazi kwa mazoea
Ova
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Hakika,pale panapokuwa na issues zinazoshabihiana na imani yake hata kama zina maswali lukuki hawezi kuongea bila kuegemea kwenye upande wakeNingekuelewa mapema, lakini nabaki na mashaka maana unatabia ya kuchanganya ukweli, uislam, uCCM, uarabu ushabiki na vitu siriasi vya maisha.
Ni rahisi kukupredict utashabikia nini kesho kwa kuzingatia hadidu za rejea hapo juu.
wanatufundisha milele??? ,tumeshindwa hakuna watakaoweza huko mbeleni mpaka tuwape hao???Kwa sababu hatuwezi. Miaka yote tumeshindwa. Wacha wanaoweza wafanye huku wanatufundisha.
Ukiendelea na hii akili utaendelea kubaki na umasikini wako mileleTajiri hajawahi kuwa na Mpango wa kumnufaisha Maskini ... ( Sijui kama una upeo wa kunielewa ) Lakini Ukweli ni Kwamba lengo kuu la Tajiri ni kuhakikisha Maskini anakuwa Maskini zaidi . UNAJIDANGANYA TU , FURTHER MORE JPM aliifahamu Mifumo ya Dunia , Alifahamu Siri ya kuendelea kwetu kuwa Maskini licha ya UTAJIRI tuliobarikiwa . WATANZANIA NINYI WENYE HULKA YA KUSIFIA SIFIA TU NI MZIGO KWA TAIFA . Tena usidanganyike Kwa habari ya Uingereza kuendeshwa na hao jamaa ni propaganda tu . UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI TU , VITA YA KIUCHUMI WATU WANA SIRAHA ZA VIWANGO ndiyo maana ni ngumu kuipigana . Kwako utaona ni FURSA tu lakini ndivyo umeshapigwa Kiuchumi .
No one is against investment in the port and no one is against a certain company or country. What is opposed is the type of contract for the wider interests of the country.Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Pimbi wewe kwani hajui hata kuandika kwa ufasaha.... ninepata... ndio nini kima wewe!Endelea hivyohivyo, ninepata proof reader.
Mama anaupiga mwingi kwa wajomba zetu.
Kwa hiyo Magufuli ndio alizuia yote hayo kufanyika?Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.