Street battles ndizo zinazoleta mabadiliko, sio kulalama kwenye social networks, royal families πŸ‘ͺ kila siku zipo kwenye street battles kwa ajili ya ku secure better life kwa generations zao wewe uko humu unalalama!

Ujinga wa middle class ndio mtaji wao mkubwa, ua elimu kwa makusudi ili push backs zisiwepo, wewe una uwezo wa kuchangia 2k,mimi huku lingusenguse Sina uwezo huo!

Soma hili ,pamoja na upuuzi wote alioufanya president Mugabe kwa wazimbabwe, mfumo wa kikoloni wa kielimu aliuacha ndio maana mpaka leo elimu wa wazimbabwe ipo super!

UK kila mwaka anaongeza free entry permits kwa nurse's from Zimbabwe, je wa kwetu tatizo lipo wapi?,why Rwanda akatafute English teachers Zimbabwe na sio jirani zake Tanzania?amka mkuu
 
Miaka mingapi ya ukodishaji wa bandari? hilo tu;hata angekua mkaburu
 
Usiwe mjinga

Pale Dubai wamiliki wa apartments kutoka Tanzania ni Wagalatia

Hata huyo DP World anayekuja Tanzania ni Sauli Mgalatia

Biashara ni Sayansi asili ya mtusi ni Mashariki ya mbali
 
Haikubaliki haya majangili kutoka uarabuni yamilikishwe bandari yataiangamiza hii nchi

Watanganyika tuwakatae hawa matapeli
 
Yaani umekaaa ukatafakari na ukajiridhisha kwamba hapa kinachopingwa sio DPW na mkataba wa hovyo wa miaka isiyo na ukomo bali ni udini?

Inamaana wote tunaopinga hapa ni Christian pekee?

Hivi nyinyi wenzetu huwa mnauona uchungu wa nchi yetu kweli?
 
 

Attachments

  • D3B16A4D-D8B2-40EB-B7F7-BC910AF9A4AC.jpeg
    64.9 KB · Views: 2
Ungetoa na elimu juu ya ukomo wa huo mkataba ukoje?
 
Hii ndio Tanzania chimbo la matajiri kijiongezea utajiri wao kwa asilimia 75 na mhusika akipata 25% hatuna umakini kabisa na nchi yetu...Inasikitisha sana..
bora kusikitisha yani inauma sana tulimcheka Mangungo ilhali sisi wenyewe ni kina Mangungo tuliokomaa
 
Hiyo 2020 ni mwaka au ni jina la kampuni tofauti na DP inayojadiliwa
 
Ni mali za Watanganyika, usitupangie
 
Mantiki tamu, ila kuielezea umejiuma uma hatari!
Lingelikuwa ni suala la kumsorolea mwanamke tungelikuambia kuwa wewe ni "domo zege".
Una point lakini hauna uwezo wa kuzielezea, ama unao uwezo lakini unaona haya ama unaogopa!
Sikuwa na muda mkuu, ila tunaweza dadavua mdogo mdogo mkuu
 
Huyu mzee anapaswa kupuuzwa kwa sabubu ana umalaya wa kimaamuzi kwa sababu
1. Aligeuka na kuacha kuwa padre akachukua demu.
2. Alikisaliti CHADEMA na kurubuniwa kwa kupewa ubalozi.
KWA HIVYO APUUZILIWE MBALI.
 
Huyu mzee anapaswa kupuuzwa kwa sabubu ana umalaya wa kimaamuzi kwa sababu
1. Aligeuka na kuacha kuwa padre akachukua demu.
2. Alikisaliti CHADEMA na kurubuniwa kwa kupewa ubalozi.
KWA HIVYO APUUZILIWE MBALI.
Hauna hoja, ama wewe ni mnufaika wa mikataba mibovu.

Mambo binafsi ya mtu yanahusika nini na uingiwaji wa mikataba mibovu?

Wakati wa uchaguzi Dr Slaa alikisaliti Chadema , au Chadema kilimsaliti kwa hila na ghilba za kumchopeka Lowasa, kwa kashifa kama hiyo ulitaka auweke wapi uso wake?

Au unadhani unazungumza na watoto wadogo waliomaliza la7 hivi karibuni wasiojua lolote?
 
Duh! Mkuu wewe ndo Slaa mwenyewe nini? Maana nakuona povu kama lote.mkataba ni mzuri na waarabu ni watu safi hawana hiyana kama wazungu wenu. Relux mkuu.
 
Serikali hii imetokana na uchaguzi wa 2020 hivyo uhalali wa wasiwasi unaanzia huko lakini huyo aliyeleta wasiwasi alikuwa swahiba wake na hakuwahi kumkosoa hata siku moja.
Yeye aseme tu huyo Mzanzibari, mwanamke tena Muislamu ndiye anayemkera,sikubaliana na matendo yote ya serikali lakini uwa nashangaa sana pale Rais wa nchi akiwa Muislamu basi kuanzia Maaskofu, Mapadri na wanaojiita wanaharakati ndiyo huamka kutoa kasoro na makasiriko kibao na chuki za waziwazi hii ina maana wale wakristo Wakatoliki uwa wanafanya vyema kila jambo au uwa inatokea tu mfano wakati ule wa Kikwete kulikuwa na kikundi wanajiita jukwaa la katiba walisumbua sana lakini alivyoingia Magufuli sijui walipotelea wapi!
 
Duh! Mkuu wewe ndo Slaa mwenyewe nini? Maana nakuona povu kama lote.mkataba ni mzuri na waarabu ni watu safi hawana hiyana kama wazungu wenu. Relux mkuu.
Povu kama lote nini!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.
Ni mjadala tyuu.
Unakumbuka ya Escrow, au ulikuwa bado unatambaa mkuu?
Mbona hazijapita hata miongo miwili kusema waTz tushasau unyambilisi wa hovyo kabisa utakanao na mikataba dizaini hii.
Penye ukweli husemwa.
Kilichonikera zaidi ni wabunge kujichetua akili na kujifanya machawa kama wale wa Bunge la katiba la mipasho bila ya kufanya utafiti wa kutosha na kujiridhisha na uhalali wa mkataba na manufaa ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…