Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi
Kuna hii thread nimetaka kupandisha imegoma inaniambia mambo ya Tags

Mzee Warioba Mwanasheria Mkuu Mstaafu Na Mzee Butiku ndio waasisi wa Katiba Yetu je chanzo Mikataba ovu na Bunge Butu
Hawa wazee wetu ndio watu waliokuwa karibu na Mwalimu na kwa Warioba Mwanasheria Mkuu wa serikali na waliosaidia sirikali kutengeneza Katiba na baadae Mikataba sirikali inayoingia na mashirika mengine au mataifa mengine.
Sasa kumekuwa na Mikataba ovu mingi , na mingine kuwa kificho kati ya wafaidika na wenzi wao.
Ambapo hata Bunge letu Butu nalo linashindwa kuifanyia kazi , kwa namna hii tutauzwa na kuwa kama Mayottee bila kujijua.
Mwalimu Nyerere Foundation tunaomba maelezo
 
Huku uraiani watu hata hawana habari...😂
 
Hawa wazee wetu ndio watu waliokuwa karibu na Mwalimu na kwa Warioba Mwanasheria Mkuu wa serikali na waliosaidia sirikali kutengeneza Katiba na baadae Mikataba sirikali inayoingia na mashirika mengine au mataifa mengine.
Sasa kumekuwa na Mikataba ovu mingi , na mingine kuwa kificho kati ya wafaidika na wenzi wao.
Ambapo hata Bunge letu Butu nalo linashindwa kuifanyia kazi , kwa namna hii tutauzwa na kuwa kama Mayottee bila kujijua.
Mwalimu Nyerere Foundation tunaomba maelezo
 
Habari Watanzania,

Ni wapi DP World, alitaka bandari zote, hadi za maziwa na mito mikuu?

Mnioneshe nchi moja tu hii Dunia yote, alikowekeza kwa style hii ya kwetu.

Sasa 0101 kazi kwenu!

DP World wa Tanzania ni mwingine kabisa.

Wakati waja tutamjua anayetaka hayo maziwa. Na itakuwa too late kwa nchi yangu!

Asanteni
 
Habari Watanzania,

Ni wapi DP World, alitaka bandari zote, hadi za maziwa na mito mikuu?

Mnioneshe nchi moja tu hii Dunia yote, alikowekeza kwa style hii ya kwetu.

Sasa 0101 kazi kwenu!

DP World wa Tanzania ni mwingine kabisa.

Wakati waja tutamjua anayetaka hayo maziwa. Na itakuwa too late kwa nchi yangu!

Asanteni
Tupe taarifa kwa undani mkuu ili tuelewe na tuanze kuchukua hatua mapema.
 
Habari Watanzania,

Ni wapi DP World, alitaka bandari zote, hadi za maziwa na mito mikuu?

Mnioneshe nchi moja tu hii Dunia yote, alikowekeza kwa style hii ya kwetu.

Sasa 0101 kazi kwenu!

DP World wa Tanzania ni mwingine kabisa.

Wakati waja tutamjua anayetaka hayo maziwa. Na itakuwa too late kwa nchi yangu!

Asanteni
Upepo wa kisiasa ni dp world tu!!

Hakuna kingine kinachochadiliwa nchini zaidi ya hilo!!
 
Tupe taarifa kwa undani mkuu ili tuelewe na tuanze kuchukua hatua mapema.
Unafikiri DP world anahitaji bandari ya ziwa Tanganyika?!

Alivyo giant ktk hiyo biashara!

Sasa jiulize, hicho kipengele kimeungwa vipi kwenye hayo makubaliano ya pande mbili.

Tz , kazi ipo
 
Unafikiri DP world anahitaji bandari ya ziwa Tanganyika?!

Alivyo giant ktk hiyo biashara!

Sasa jiulize, hicho kipengele kimeungwa vipi kwenye hayo makubaliano ya pande mbili.

Tz , kazi ipo
Tueleze basi? Mbona bado unatuuliza maswali tena!?
 
Kwanza waziri Mbarawa alipo ulizwa na viongozi wa dini hao Matapeli wa DP word wamepatikanaje alisema upatikanaji wa hao Matapeli ni wa kimagumashi hakuna tenda iliyo tangazwa na serikali kuwawezesha wao kushinda.Ni kwa nini serikali ivunje sheria na taratibu ilizo zitunga yenyewe na huku ikiwachukulia hatua wengine wanao vunja sheria hiyo hiyo? Ukiwa na Akili timamu utajua kuwa hapo kuna ufisadi na rushwa ya kujikinai iliyo tolewa.

Kwa taratibu za kisheria waziri Mbaralawa na majambazi wenzie wote waliopo bungeni na sehemu zingine mpka sasa na hao matapeli wa DP WORD pindi wakikanyaga tuu nchini walipaswa kuwekwa ktk mikono salama kwa kulinajisi taifa. Sheria za nchi zinakataza zabuni kutolewa bila kufanyika ushindani ili kupata Value of money.
Yaani hawa DIP WORLD wanatofautiana kidogo sana na RICH MOND tofauti zao ni kuwa Rich mond hawakuwa na ofisi mahali popote pale Duniani lakini walipewa tenda na serikali hii hii ya hawa matapeli ccm.
 
Masharti yasiyofaa na yenye kuhusu nchi kupoteza uhuru wake yako wazi kwenye mkataba au makubaliano kati ya Tanzania na Dubai yaliyoidhinidhwa na wabunge. Lakini waziri anajaribu kuonesha kama hayana madhara na eti kuna vifungu vinatoa njia. Yote ni propaganda.

Ninachotaka kusema vifungu vile vimewekwa kwa kusudi na nia ya wawekezaji kama hao ni kukupora nchi. Kwanza wana maeneo wanataka sheria za huko ndio zitumike. Halafu wana vyombo vya kimataifa wanataka ndio vitumike tu. Huko wanajua watapata haki ya kukudhulumu.

Kuna nchi zilipoteza bandari zao na kutwaliwa kwa nguvu kwa miaka mingi au hadi leo. Kwa mfano china ilipoteza bandari ya hong kong kwa waingereza kwa zaidi ya miaka 100. Wakiwa dhaifu waingereza waliwatayarishia mkataba aina hii Dubai wametuandalia wakatia sahihi.

Pia kuna macao bandari ya china kwa mkataba wa kifisadi walitoa kwa ureno. Bandari zote zimerejeshwa uchina baada ya nchi hiyo kua imara na kuwatishia nguvu hao mabeberu.

Kuna guantanamo cuba. Serikali ya vibaraka wa marekani waliingia makubaliaono kutoa kisiwa kidogo kwa jeshi la majini la marekani. Baada ya mapinduzi ya cuba 1959 Wamarekani wamegoma kurejesha guantanamo wanatumia kibabe hawalipi kitu. Hiyo ni mifano michache.
 
Masharti yasiyofaa na yenye kuhusu nchi kupoteza uhuru wake yako wazi kwenye mkataba au makubaliano kati ya tanzania na dubai yaliyoidhinidhwa na wabunge. Lakini waziri anajaribu kuonesha kama hayana madhara na eti kuna vifungu vinatoa njia. Yote ni propaganda...
Uhuru siyo jambo la kupuuzwa hata kidogo!
 
Iwe mwisho Tanganyika kuajiri Raisi Mzanzibari.
Kwasababu ya kukosa Uzalendo wa dhati.
Na huyu aliyepo asigombee tena hicho cheo.
Hatumtaki.
Hatuna imani naye tena.
Binafsi naomba niitwe , Mtanganyika. Sio Mtanzania bara, tumezidi kuchezewa sasa.
 
Back
Top Bottom