Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Kama taifa inabidi huo mradi uangaliwe upya na kama utaonekana kuna mapungufu basi tuombe dirisha la mazungumzo ya kuboresha vipengere vya huo mkataba ili ujenzi uanze
Kabisa mkuu, faida ya mradi ni kubwa sana, issue tupambane kwa ushawishi kwenye vipengele vya mkataba kuwe na win win situation ila hili lankuwasema vibaya wawekezaji na kuona wengine ni vibaraka sio sawa.
 
Umenena vyema! Watz wenye mawazo ya kama assad na jk tu ndio wataukubali!
Haya haya hawana😡!
 
Kabisa mkuu, faida ya mradi ni kubwa sana, issue tupambane kwa ushawishi kwenye vipengele vya mkataba kuwe na win win situation ila hili lankuwasema vibaya wawekezaji na kuona wengine ni vibaraka sio sawa.
Hiyo ni sawa na kujifungia chumbani utegemee mwanga wa kupitia kwenye nyufa za dirisha
 
Umenena vyema! Watz wenye mawazo ya kama assad na jk tu ndio wataukubali!
Haya haya hawana[emoji35]!
Na wale wenye mawazo ya jiwe ndiyo wanaukwamisha kwa kutumia uongo uongo maana hakuna aliye uona huo mkataba.
 
Ni ujinga tu unatusumbua, eneo limekaa wazi zaidi ya miaka 2000, kuna faida gani kubaki na eneo wazi badala pajengwe?
Kwa hiyo unaniruhusu nije kwenye kiwanja chako kilichowazi nijenge bangaloo langu na nipafanye pangu 4 99 years! Ambapo ww utakuwa udongo na hata wanao pia watakuwa udongo! Kisha wajukuu wasiweze tena kurudisha eneo lako eeh! Hii akili au 💩!
 
Hiyo ni sawa na kujifungia chumbani utegemee mwanga wa kupitia kwenye nyufa za dirisha
Tabia ya kutaka kusaidiwa saidiwa, unaweza saidiwa hata mke 😂🤣😂!
 
Na wale wenye mawazo ya jiwe ndiyo wanaukwamisha kwa kutumia uongo uongo maana hakuna aliye uona huo mkataba.
Jifunze kwa djibouti, Zambia, sri lanka juu ya mkakati wa china ww zezeta!
Mimtu yenye akili za kipumbafu hivi kama zako ni ya kuburuza tu kwa fimbo na mijeredikama mbuzi maana ukiyaacha yatajidhuru menyewe mfyuuuuuu 😡!
 
Jifunze kwa djibouti, Zambia, sri lanka juu ya mkakati wa china ww zezeta!
Mimtu yenye akili za kipumbafu hivi kama zako ni ya kuburuza tu kwa fimbo na mijeredikama mbuzi maana ukiyaacha yatajidhuru menyewe mfyuuuuuu [emoji35]!
Nyinyi sukuma gang kamwe hamtaweza kumkwamisha rais wetu
 
Kichwa chako kimejaa matope badala ya ubongo we mganga njaa. Roho mbaya za kichawi zinakusumbueni!

Koma kabisa kutukana raisi wetu mama Samia ukiwa nyuma ya keyboard.
Acheni upuuzi mavi wew,,, unanipangia nani nimtake na nani nisimtake kama nani mbuzi wa skukuu wew??

Achaneni na mim
 
You're just proving your stupidity.
 
Nyie endeleeni kutulisha matango pori,, mnatunga wenyewe sheria, na mnavunja wenyewe mikataba,, ila nacho jua hiyo ya bandari wanaohusika ni yote serikali ya awamu ya nne na ya tano wote,, wakiongozwa na CCM na Ndugai
 
Usipende msaada na mikopo inayoumiza kutoka China.
Hapo hiyo bandari unayoita bandari mshenzi sisi wenyewe tunaweza kujenga Gati hata 3 kwa pesa zetu na injinia wazawa. Suala la kuwepo mashua ni wafanyabiashara wenye meli wameona hapo hata wakipeleka vyombo vikubwa hakuna maslahi. Hapo Bagamoyo Meli ndogo zinakuja kama MV SAMARA uliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…