Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hii tayari.Hata Lucas mwashambwa aitwa Samia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii tayari.Hata Lucas mwashambwa aitwa Samia.
Hahahahaha😂😂😂😂Mimi nashauri somo la Biology liitwe Samiology
Kikwete aliruhusu maandamano ya mashehe na waumini waoMpaka mseme, yaani mpaka mseme kabisaaaaa
Samia atabaki kuwa rais bora na bora na bora sana
Hembu niambieni angalau rais mmoja tu aliwahi kuruhusu maandamano inchi hii
Wacha rais mmoja hata nusu tu
Duh, aisee. Iitweje Samianzia?Kwani Pia utaratibu wa kubadilisha jina la Nchi upoje?
Hata mvua nazo ziitwe Samia.
Naunga mkono hoja kila kitu kiitwe Samia. Hadi maombi kwa Mungu yaanze na Samia rais wa nchi yetu. Tupo hai kwa ajiri ya Samia.Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.