Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Na nchi ikiwezekana iitwe jina hilo hilo ili kumuenzi Mama maana kazi anayoifanya ni kubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli sasa hivi Kila mtu anafedha za kutosha na ajira zipo zimejaa hadi tunakosa wakizi
Word!Nimekuelewa sana mkuu, yaaani nimekuelewa!,
Hakuna uhuni hapo!Acha uhuni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naam!Mkuu
Hii nchi haijawahi kuwa serious.
Chawa wanalipwa sana kuliko wanataaluma wetu wanaopaswa kuisaidia nchi
Sometimes it becomes necessary to use absurdities in order to illustrate the absurd.Hahahahaha...!! Sarcasm at its best. Kuna mambo yanasikitisha sana aisee.
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Mlima Kilimanjaro uitwe mlima Samia.Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
The use absurdities to highlight the absurd!Mabandiko mengine yanadhamiria kutumiza ! Nilishasahau utumbo na uharo wa Bungeni!
Huku kwetu jua kali, samia haijanyesha zaidi ya wiki mbili 🤔Hata mvua nazo ziitwe Samia.