Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha...!! Sarcasm at its best. Kuna mambo yanasikitisha sana aisee.Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Napendekeza Bahari ya HINDI iitwe hivyo hivyo jina la mamaKwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Hata mkoa wa Zanzibar huitwe Samia Region.Hata ligi kuu ya Tanzania bara ingeitwa "Samia ligi"
Sarcastic & corrupted mindKwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Angalia usishiriki kuwapotosha watu kwa haya uliyoandika ukifikiri watakuwa na uelewa mzuri kupata unachotaka kusema katika hii satire yako!Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Sasa yeye anahusika vipi na athari ambazo hao watu walizipata kutokana na kukosa lishe bora utotoni ?Angalia usishiriki kuwapotosha watu kwa haya uliyoandika ukifikiri watakuwa na uelewa mzuri kupata unachotaka kusema katika hii satire yako!
We bwege mlaumu mamakoKwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Hata uwe dhaifu kiasi Gani huwezi kosa wafuasi bana. Ww ni mmoja wa wafuasi wa watu dhaifu kuwahi kutokea DunianiKwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.
Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.
Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.
Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.
Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?
Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.
Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.
Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.
Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.
Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!
Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Kuna wajinga walisema watamlazimisha magufuli awe rais wa milele.Mnajidai kufanya masihara kumbe mnaumia kinoma, endeleeni kuumia tu, mama ni mpaka 2030000000000000 umri na uhai vikiwepo
Na kuna wajinga zaidi wanadhani eti mama ataacha au atasusa ajili ya vineno vineno vyao humu mtandaoni,Kuna wajinga walisema watamlazimisha magufuli awe rais wa milele.