Bandari ya Dar es Salaam ibadilishwe jina iitwe Bandari ya Samia

Bandari ya Dar es Salaam ibadilishwe jina iitwe Bandari ya Samia

Kama dakika kumi nyuma kuna sehemu nimenunua mazaga kadhaa ya kupika muuzaji akaniuliza, "nikufungie kwenye mfuko wa Samia au?" nikamwambia kwani kuna haja ya kuniuliza si unafunga tu mimi naondoka zangu. Jamaa akasema huku watu hawataki kusikia kitu inaitwa Samia hata hii mifuko yenye picha yake hawakubali kuwekewa bidhaa. Mpaka muda huu natafakari kauli ya yule jamaa.
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Hahahahaha...!! Sarcasm at its best. Kuna mambo yanasikitisha sana aisee.
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Napendekeza Bahari ya HINDI iitwe hivyo hivyo jina la mama

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Sarcastic & corrupted mind
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Angalia usishiriki kuwapotosha watu kwa haya uliyoandika ukifikiri watakuwa na uelewa mzuri kupata unachotaka kusema katika hii satire yako!
 
Angalia usishiriki kuwapotosha watu kwa haya uliyoandika ukifikiri watakuwa na uelewa mzuri kupata unachotaka kusema katika hii satire yako!
Sasa yeye anahusika vipi na athari ambazo hao watu walizipata kutokana na kukosa lishe bora utotoni ?
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
We bwege mlaumu mamako
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Hata uwe dhaifu kiasi Gani huwezi kosa wafuasi bana. Ww ni mmoja wa wafuasi wa watu dhaifu kuwahi kutokea Duniani
 
Back
Top Bottom