Bandari ya Dar es Salaam ibadilishwe jina iitwe Bandari ya Samia

Mpaka mseme, yaani mpaka mseme kabisaaaaa

Samia atabaki kuwa rais bora na bora na bora sana
Hembu niambieni angalau rais mmoja tu aliwahi kuruhusu maandamano inchi hii
Wacha rais mmoja hata nusu tu
Kikwete aliruhusu maandamano ya mashehe na waumini wao
 
Huku kwetu gongo la mboto Samia ni kali sana mpaka joto limezidi....Suluhu ina muda mrefu haijanyesha
 
Hata mvua nazo ziitwe Samia.
Naunga mkono hoja kila kitu kiitwe Samia. Hadi maombi kwa Mungu yaanze na Samia rais wa nchi yetu. Tupo hai kwa ajiri ya Samia.

Wabunge wakitoa hoja, mahakama kabla ya hukuma waanze kumshukuru Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…