Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wenye tabia ya kusema system sana ni walimu na viongozi wa kata na vijiji sijui wanajikutaga nani
Juha ni we we na wenzako mnaoana hayo yote yakitendeka pasipo kufanya chochote.Kuna maeneo ya usalama wa taifa ndani yake.
Bandari, umeme, reli, viwanja vya ndege.
Kumpa mwekezaji wa nje ni sawa na kuuza nchi tu.
Tukubali, tukatae huwezi mpa mtu bandari eti anawekeza!!
Ni ujuha
Kazikwe nae mfyuuu, sjui umeandika nini kwanzaJamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji
rest easy Jembe
Idala× Idara✓Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji
rest easy Jembe
Alipokiwa Waziri hukumbuki alivyoitia hasara Tanzania kuhusu samakiBogus anaweza kuwa Waziri kwa miaka 20 na Rais wa nchi? Yaani ukichukua CV yako na ukoo wenu wote hakuna wa kumfikia JPM.Yule alikuwa na akili ya ziada nje ya Elimu yake,kama huna akili hiwezi kumuelewa mwenye akili.Punguza mihemko,Pambana na wewe uijengee heshima familia yako siyo kujadili watu waliokuzidi kwa kila kitu.
Wewe umefanya kipi kwenye hili Taifa kumzidi huyo Bogus president 🤣🤣🤣
Wewe ni mjinga,wewe umefanya kipi kumzidi 🤣🤣🤣Alipokiwa Waziri hukumbuki alivyoitia hasara Tanzania kuhusu samaki
Umeshasahau kuwa aliziuza nyumba za serikali alipokuwa Waziri
Kuwa waziri haina maana kuwa Magufuli alikuwa hodari,inawezekana alikuwa hodari wakuchagua watendaji kazi mahodari..
Magufuli alikuwa Bogus President
Nimemzidi kwa kila kitu,hata kuzungumza kingereza....Wewe ni mjinga,wewe umefanya kipi kumzidi 🤣🤣🤣
Narudia tena wewe ni takataka!Nimemzidi kwa kila kitu,hata kuzungumza kingereza....
Magufuli alikuwa mbabaishaji tu