Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mimi nisiyajue? Unataka nifunguke hapa ili nimfaidishe nan? Huna akiliNdio, nimepewa mimi.
Acha kushupaza shingo Kwa usivyovijua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nisiyajue? Unataka nifunguke hapa ili nimfaidishe nan? Huna akiliNdio, nimepewa mimi.
Acha kushupaza shingo Kwa usivyovijua.
Nyie ndio watu wa kupigwa risasiMapungufu ya Jiwe yalikuwa ni hatari na yalikuwa yakilipeleka taifa la Tz kwenye hasara kubwa kuliko hata hasara ya bandari zote kupatiwa mjomba wake Samia wa kule Oman
Acha kuwaza upumbavu muda wote.Mto puru alikubali kuliwa www je ushatoa puru lako uliwe
We zubaa watu wa bandari ndo wanajua nn kinafanyika kaa kwa kutulia ni mda wa kuingia kazini mda wa kutaka na kuwahi kutoka na safari kila siku maana per diem zimepanda.
Enzi za JK almanusura CCM ianguke... Ashukurikwe Mkapa aliokoa jahazi...
Yetu macho......
Huko bandarini nasikia kampuni ya TICKS (sijui nimeandika vizuri..??) Wamerudi kwa kasi ya 4G.....
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Bogus anaweza kuwa Waziri kwa miaka 20 na Rais wa nchi? Yaani ukichukua CV yako na ukoo wenu wote hakuna wa kumfikia JPM.Yule alikuwa na akili ya ziada nje ya Elimu yake,kama huna akili hiwezi kumuelewa mwenye akili.Punguza mihemko,Pambana na wewe uijengee heshima familia yako siyo kujadili watu waliokuzidi kwa kila kitu.The most extreme dangerous,bogus President Tanzania ever had..
Thank you God for what you have done to him...
Cowdung(bullsh*t) kimba la ng'ombe nimemsadia ili ikifika hio siku asihangaike sanaIpo siku utakuja kujiona cowdung kwa hii kauli yako
Bora utulie akili za kimaskini sisi tuliopo kweny system tunajua magufuli alikuwa Bora kuliko raisi wote hata pale bandari mapato yalikuwa juu .... Kingine jitambue wale walioingia kweny system kipind cha jiwe walikuwa Wana uwezo tangu afariki michezo ya ovyo imerudi
Jiwe alikuwa anaiba kimpango wake ila sawa wanagawana watu kibao kaaa kwa kutulia hujui kitu kima wa blue !!!
Wewe yawezekana ni mwamafunzi uko field. Unaposema nena pale "operation bandari" unamaanisha nini? Unajua operations bandarini kazi yao ni nini? Unajua hata makusanyo ya mapato sio kazi yao?Bro unajua banadari inakusanya kiasi gani kwa siku unajua miondombinu kuanzia system za makusanyo nenda operation pale bandari dar enzi za JK kalinganishe na Jiwe utakuja kushukuru jiwe mara 100000 acha ushabiki
Najua unaongea upo matopeni huko njoo mjini utaelewa mambo yanavyoenda
Sasa kama Rais alithubutu kuingia bandarini na kuzuga kuokota vichwa vya treni visivyo na mwenyewe unategemea nini? Nani ataagiza vichwa vya treni wakati hana reli? Na kibaya zaidi asivyo na aibu vichwa vyenyewe alivyookota tayari vina chata ya TRLMagufuli alikuwa muongo sana akuna ata jambo moja naliliamini kwa magufuli
Upo kwenye system acha propaganda za kishambaBora utulie akili za kimaskini sisi tuliopo kweny system tunajua magufuli alikuwa Bora kuliko raisi wote hata pale bandari mapato yalikuwa juu .... Kingine jitambue wale walioingia kweny system kipind cha jiwe walikuwa Wana uwezo tangu afariki michezo ya ovyo imerudi
Jiwe alikuwa anaiba kimpango wake ila sawa wanagawana watu kibao kaaa kwa kutulia hujui kitu kima wa blue !!!
Acha hamaki...Mimi nisiyajue? Unataka nifunguke hapa ili nimfaidishe nan? Huna akili
Acha kuleta habari za uongo huku.Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli 😢😢😢😢 kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji
rest easy Jembe
Uko kama mimi.Nilimgundua kitambo sana.Magufuli alikuwa muongo sana akuna ata jambo moja naliliamini kwa magufuli
Fungua TV yako fuatilia uchaguzi wa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 linganisha na yaliyotokea hapa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 2020 ndo utajionea uhuni wa mwendazake. 😂😂😂😂Katika lipi alikuwa muongo
Hakuna lolote la maana alilotufanyia,rais mbovu zaidi kuwahi kutokea tz,apumzike kwa amani,tunamshukuru Mungu kwa kusikia vilio vya watu wake na kumuondosha mapema!Najua Mtanikumbuka Siyo Kwa Mabaya Lakini Mazuri
Mzilankende Mnyago,Jiwe, Chuma, Ngosha, Baba Jesca
Aliweza Sehemu Yake!!!
Aisee! Umesema kweli kbs!Mapungufu ya Jiwe yalikuwa ni hatari na yalikuwa yakilipeleka taifa la Tz kwenye hasara kubwa kuliko hata hasara ya bandari zote kupatiwa mjomba wake Samia wa kule Oman