Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

Unajua wakati mwingine ni vizuri kuongea vitu ukiwa na Ushahidi hasa kwenye jambo nyeti kama hilo la bandari, otherwise ziendelee kuwa tetesi.

Unapokuwa unawaachia wageni bandari manake hapo utakuwa umeamua kujivua nguo wewe mwenyewe, manake utakuwa wazi upande huo wa majini na ni rahisi maadui kupenetrate kupitia njia hiyo. Na ni hatari sana Kwa usalama wa Nchi.
Ni swala la muda tu
 
Hebu jieleze vizuri ili tukuelewe na wenye kuhitaji kukuunga mkono wakuunge. Shida yako ni nini haswa;
-mwarabu tu?!!!!
‐Mkataba ni mbovu?
‐ Au tamanio la kumuona mzungu au mchina anapewa badala ya mwarabu unayemchukia (kutokana na dini)?!!!!

Ulichukia hivyo hivyo wakati Jpm (r.i.p) alipowakabidhi waarabu (sina uhakika sana) kujenga lile bwawa la umeme pale rufiji?!!!
 
Magufuli alikuwa hastahili kuwa Rais wa nchi. Uharibifu alioufnya vichwani mwa Watanzania itachukua miaka mingi kuufuta
Ila hapa kuna ukweli aisee, pamoja na yote watu wamekuwa brainwashed sanaaa........yaani wameaminishwa jamaa ni malaika kabisa na hivyo hakuwa na lolote alilolikosea.
 
Enzi za JK almanusura CCM ianguke... Ashukurikwe Mkapa aliokoa jahazi...

Yetu macho......

Huko bandarini nasikia kampuni ya TICKS (sijui nimeandika vizuri..??) Wamerudi kwa kasi ya 4G.....

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Let the old man rest in peace, your silly talks prolly got him rolling in his grave.
 
Mapungufu ya Jiwe yalikuwa ni hatari na yalikuwa yakilipeleka taifa la Tz kwenye hasara kubwa kuliko hata hasara ya bandari zote kupatiwa mjomba wake Samia wa kule Oman
Wasted sperm.

#MaendeleoHayanaChama
 
Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani

Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji

rest easy Jembe
Unamaanisha nini.. ukisema kapewa muarabu?

Yani amepewa vipi..

Ni baada ya mkataba wa wazungu walikuwa wana operate kuisha au??

Embu fafanua mkuu
 
The most extreme dangerous,bogus President Tanzania ever had..

Thank you God for what you have done to him...
 
Bora utulie akili za kimaskini sisi tuliopo kweny system tunajua magufuli alikuwa Bora kuliko raisi wote hata pale bandari mapato yalikuwa juu .... Kingine jitambue wale walioingia kweny system kipind cha jiwe walikuwa Wana uwezo tangu afariki michezo ya ovyo imerudi

Jiwe alikuwa anaiba kimpango wake ila sawa wanagawana watu kibao kaaa kwa kutulia hujui kitu kima wa blue !!!
Mkuu cheo chako ni kipi kwa sasa
 
Back
Top Bottom