Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

Bro unajua banadari inakusanya kiasi gani kwa siku unajua miondombinu kuanzia system za makusanyo nenda operation pale bandari dar enzi za JK kalinganishe na Jiwe utakuja kushukuru jiwe mara 100000 acha ushabiki
Najua unaongea upo matopeni huko njoo mjini utaelewa mambo yanavyoenda
Nadhani wanamuenzi Jiwe tu. Kwani bwawa la Mwalimu Nyerere nani alipewa hiyo kazi? Kama nilisikia ni mwarabu wa Egpyt au hao sio waarabu kwa kuwa wako Africa??
 
Nadhani wanamuenzi Jiwe tu. Kwani bwawa la Mwalimu Nyerere nani alipewa hiyo kazi? Kama nilisikia ni mwarabu wa Egpyt au hao sio waarabu kwa kuwa wako Africa??
Humu wengi hamna akili? Unaelewa utofauti Kati ya operations na construction? Waarab kwenye bwawa kule wanafanya construction wakimaliza wanasepa zao, Ila operations zitabaki kwa Tanesco. Ni Kama wachina wanaojenga barabara, wakishajenga wakimaliza wanasepa.

Hata hivyo sioni shida DP world kupewa kuiendesha bandari.
 
Humu wengi hamna akili? Unaelewa utofauti Kati ya operations na construction? Waarab kwenye bwawa kule wanafanya construction wakimaliza wanasepa zao, Ila operations zitabaki kwa Tanesco. Ni Kama wachina wanaojenga barabara, wakishajenga wakimaliza wanasepa.

Hata hivyo sioni shida DP world kupewa kuiendesha bandari.
Bandari ipi anapewa DP world? Kuacha waarabu waliochukua TICTS Kuna wengine tena?

Hapa tunalishana matango pori.
 
Jiwe alitakiwa aongoze enzi za TANU sio sasa hivi. Kwa nyakati zile angefaa sana. Sera zake hazikuwa tofauti na za Mugabe ambazo sasa hivi zinawaumiza waZimbabwe kuliko inavyodhaniwa. Hadi Malaya wa Zimbabwe unaweza kuwalipa kwa kilo ya mahindi sio lazima hela kuashiria hali ni mbaya sana. Alishasema JK ukitaka kula lazima na wewe uliwe.
Mto puru alikubali kuliwa www je ushatoa puru lako uliwe
 
Wauze tu kila kitu hata wakiuza Ngorongoro na Serengeti sisi hatujali. Sisi tunamsubiria Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana aje kutawala dunia yote.
Bado kitambo kidogo atakuja na atakapokuja hakutakuwa tena na serikali ya Tanzania wala serikali ya Marekani wala Uingereza . Yaani Serikali itakuwa moja tu, nayo ni Serikali ya MUNGU.

Mwenye masikio na asikie.
 
Unajua wakati mwingine ni vizuri kuongea vitu ukiwa na Ushahidi hasa kwenye jambo nyeti kama hilo la bandari, otherwise ziendelee kuwa tetesi.

Unapokuwa unawaachia wageni bandari manake hapo utakuwa umeamua kujivua nguo wewe mwenyewe, manake utakuwa wazi upande huo wa majini na ni rahisi maadui kupenetrate kupitia njia hiyo. Na ni hatari sana Kwa usalama wa Nchi.
 
Tuvumilie tu kwa sasa.kwa sasa nchi inajiendea tu kwa hasara.2025 sio mbali na tutavunjavunja hii mikataba ya kipuuzipuuzi na kuwacharaza viboko hadharani viongozi wanaoshiriki hii mikataba ya kipuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naendelea kusema kuwa nchi hii haijapata kiongozi mzawa so tulieni hivyo hivyo msikimbie wala kunung'unika, kuna mwingine huko kanunua majumba Dubai but anashadidia nchi iuzwe, bulshut..!
 
Umekosa majibu au? Karudie nilicho uliza then utoe ufafanuzi
Ndio maana nikakuuliza una matatizo ya akili?sijasema DP world kapewa bandari, Nimesema sioni tatizo DP world kupewa bandari, Najua DP world ni mbadala wa ticts.
 
Ndio maana nikakuuliza una matatizo ya akili?sijasema DP world kapewa bandari, Nimesema sioni tatizo DP world kupewa bandari, Najua DP world ni mbadala wa ticts.
Asante,

Pia huelewi unachosema. Aliepewa TICTS Sio DP World.

Baki kwenye Madera na vidole juu huko kisiju.
 
You know nothing, huyo jiwe ndo alikuwa mpigaji balaa, ile bandari mapato yake inayoingiza kwa mwezi ni zaidi ya 10T, chakushangaza sasa eti bandari kama ile inaingiza 900B akizidi sana kwa mwezi ni 2T, akambiwa basi uwe unapeleka serikalini gawio la 1T napo anashindwa iyo 1T si upuuzi uwo Yani bandari inaingiza pesa nyingi mno sema akuna mbinu nzuri ukusanyaji wa hayo mapato, Mwarabu kasema atapeleka ataigawia serikali 6T kila mwezi sasa c bora mwarabu apewe tuu mm kwa upande wangu naona ni safi kupewa mwarabu tunazingua sisi wenyewe kitu chetu hatuna uzarendo nacho na mjiandae nyny watumishi wa bandari msio na professional ya kazi za bandari kwenda kufanya kazi uko halmashauri kazi mnayo ..
Kama kina masilahi hivyo mbona tunafichwa fichwa vitu sio open
 
Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani

Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli 😢😢😢😢 kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji

rest easy Jembe
umeuona mkataba!?!, uweke hapa tuone kama tunapigwa au la!!!. Tusiwe waoga sana au watu wa kulaumu tu PPP imenufaisha na itendelea kutunufaisha
 
Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani

Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji

rest easy Jembe
Bandari alishaigawa Mkapa miaka mingi, hizi nyingine sarakasi tu.

Kama unataka kumlaumu mtu kuhusu bandari, mlaumu Mkapa godfather wake Magufuli.
 
Back
Top Bottom