Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani wanamuenzi Jiwe tu. Kwani bwawa la Mwalimu Nyerere nani alipewa hiyo kazi? Kama nilisikia ni mwarabu wa Egpyt au hao sio waarabu kwa kuwa wako Africa??Bro unajua banadari inakusanya kiasi gani kwa siku unajua miondombinu kuanzia system za makusanyo nenda operation pale bandari dar enzi za JK kalinganishe na Jiwe utakuja kushukuru jiwe mara 100000 acha ushabiki
Najua unaongea upo matopeni huko njoo mjini utaelewa mambo yanavyoenda
Wewe huna akili na huyo uliyecomment kwake wote hamna akili. Mapato ya bandari 10T kwa mwezi? Hamna akili wapumbavu nyieMimi kwanza sijamuelewa,hoja ni ipi? Maana hakuna alichoandika..
Ila kama ni muwekezaji Mwarabu kuna shida gani?
Humu wengi hamna akili? Unaelewa utofauti Kati ya operations na construction? Waarab kwenye bwawa kule wanafanya construction wakimaliza wanasepa zao, Ila operations zitabaki kwa Tanesco. Ni Kama wachina wanaojenga barabara, wakishajenga wakimaliza wanasepa.Nadhani wanamuenzi Jiwe tu. Kwani bwawa la Mwalimu Nyerere nani alipewa hiyo kazi? Kama nilisikia ni mwarabu wa Egpyt au hao sio waarabu kwa kuwa wako Africa??
Kweli Magufuli alistahili kuondoa wenye veti feki kama ww mbumbu.Magufuli alikuwa hastahili kuwa Rais wa nchi. Uharibifu alioufnya vichwani mwa Watanzania itachukua miaka mingi kuufuta
Bandari ipi anapewa DP world? Kuacha waarabu waliochukua TICTS Kuna wengine tena?Humu wengi hamna akili? Unaelewa utofauti Kati ya operations na construction? Waarab kwenye bwawa kule wanafanya construction wakimaliza wanasepa zao, Ila operations zitabaki kwa Tanesco. Ni Kama wachina wanaojenga barabara, wakishajenga wakimaliza wanasepa.
Hata hivyo sioni shida DP world kupewa kuiendesha bandari.
Mto puru alikubali kuliwa www je ushatoa puru lako uliweJiwe alitakiwa aongoze enzi za TANU sio sasa hivi. Kwa nyakati zile angefaa sana. Sera zake hazikuwa tofauti na za Mugabe ambazo sasa hivi zinawaumiza waZimbabwe kuliko inavyodhaniwa. Hadi Malaya wa Zimbabwe unaweza kuwalipa kwa kilo ya mahindi sio lazima hela kuashiria hali ni mbaya sana. Alishasema JK ukitaka kula lazima na wewe uliwe.
Una matatizo ya akili?Bandari ipi anapewa DP world? Kuacha waarabu waliochukua TICTS Kuna wengine tena?
Hapa tunalishana matango pori.
Umekosa majibu au? Karudie nilicho uliza then utoe ufafanuziUna matatizo ya akili?
Ndio maana nikakuuliza una matatizo ya akili?sijasema DP world kapewa bandari, Nimesema sioni tatizo DP world kupewa bandari, Najua DP world ni mbadala wa ticts.Umekosa majibu au? Karudie nilicho uliza then utoe ufafanuzi
Asante,Ndio maana nikakuuliza una matatizo ya akili?sijasema DP world kapewa bandari, Nimesema sioni tatizo DP world kupewa bandari, Najua DP world ni mbadala wa ticts.
AhahahaKweli Magufuli alistahili kuondoa wenye veti feki kama ww mbumbu.
Kama kina masilahi hivyo mbona tunafichwa fichwa vitu sio openYou know nothing, huyo jiwe ndo alikuwa mpigaji balaa, ile bandari mapato yake inayoingiza kwa mwezi ni zaidi ya 10T, chakushangaza sasa eti bandari kama ile inaingiza 900B akizidi sana kwa mwezi ni 2T, akambiwa basi uwe unapeleka serikalini gawio la 1T napo anashindwa iyo 1T si upuuzi uwo Yani bandari inaingiza pesa nyingi mno sema akuna mbinu nzuri ukusanyaji wa hayo mapato, Mwarabu kasema atapeleka ataigawia serikali 6T kila mwezi sasa c bora mwarabu apewe tuu mm kwa upande wangu naona ni safi kupewa mwarabu tunazingua sisi wenyewe kitu chetu hatuna uzarendo nacho na mjiandae nyny watumishi wa bandari msio na professional ya kazi za bandari kwenda kufanya kazi uko halmashauri kazi mnayo ..
umeuona mkataba!?!, uweke hapa tuone kama tunapigwa au la!!!. Tusiwe waoga sana au watu wa kulaumu tu PPP imenufaisha na itendelea kutunufaishaJamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli 😢😢😢😢 kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji
rest easy Jembe
Bandari alishaigawa Mkapa miaka mingi, hizi nyingine sarakasi tu.Jamani kwema
Jiwe alikuwa anamapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyo vinahusu masilai ya taifa alikuwa mkali kupitiliza alijitahidi kubolesha miondombinu kila idala majini (bandari zote), inchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwenye ajira watu wengine wataumia wengine watanufaika, system za mapato zote anapewa mtu sisi tunageuka kuwa ndugu watazamaji
rest easy Jembe