luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
-
- #61
Sio yanaweza asilimia kubwa ya mzigo wa madin ya congo yanapitia hapa dsm port.Madini ya Congo yanaweza pitia TZ na hio itainua uchumi wenu na pia itainua uchumi wa Congo. Halafu bandari hio itarahisishia Congo kuimport mashine kama vile mashine za kujenga barabara. Hii itasaidia Congo kujenga barabara na kufungua nchi hio ambayo karibu yote ni misitu.
Ndio hamna ss nduguIngekuwa ni Kenya, kwa spidi tunayo ya kutafuta opportunity, tayari tungekuwa tumejenga bandari hio miaka za nyuma. Sasa hivi tungekuwa tunapata pesa ndefu. Hata Congo tungewajengea bandari na kuwaruhusu kulipa mkopo polepole.
Wivu itakutoa roho we nyang'auWhite elephant kibao
kuna jamaa yangu Mnyarwanda anadai JIWE ameamua kuwasomesha namba na wenyewe aliichambua hiyo bandari faida zake kwa Tz na Congo na hasara zake kwa Rwanda mpaka nikashangaa japo nilikuwa hata sihifahamu hiyo bandari before
hawana jipya tena na kuna tetesi Tz kuzibrand mbuga za mahale na gombe kuwa ndio home of chimpanzees so jamaa wanapigwa gangbangItabaki kuwa ndoto tuu...kumeshakucha.
Tunaweza tuka share kujenga kisha tukagawana hisa kama wanavyofanya wazunguNyie mnaweza kujenga bandari lakini Congo hana pesa ya kujenga bandari
Kalema mkuu inaunganishwa nareli tokea Mpanda,na Mpanda- Kaliua wanaikarabati upya ili kuongeza Mwendo hiyo meter gauge.JPM kiboko sana huwa nikimfikiria huyu mzee daah acha tuuKati ya karema au kasanga moja itaunganishwa na reli. SGR
Kwa ile bandari si ipo mkoa wa katavi mkuu ? Nafikiri kwa kutokea mkoa wa Tabora ni rahisi zaid2016 nilikwenda kule kasanga yani unatoka sumbawanga saa 5asubuhi unafika saa 11jion
Hapana, iko Mkoa wa Rukwa ni saa moja na nusu Drive from Sumbawanga mjini.Kwa ile bandari si ipo mkoa wa katavi mkuu ? Nafikiri kwa kutokea mkoa wa Tabora ni rahisi zaid
... Barabara mpya ya lami imejengwa na kampuni ya China kutoka Sumbawanga ni saa moja na nusu.2016 nilikwenda kule kasanga yani unatoka sumbawanga saa 5asubuhi unafika saa 11jion