mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 614
Ni wivu tuSawa lakini isiwe kigezo cha kuua bandari ya Kemondo Bukoba, kwa kuwa ziko jirani
Sawa, Ila hii kitu ni hatari sana sana kwa ustawi wa usawa katika nchi yetu.Kwa mujibu wa rais museveni jina chato limetokana na neno chatu kama unavyojua chatu ni bonge la nyoka hatari anameza kila kitu hana mchezo mchezo...
Labda ukawekeze kwenye ufugaji wa punda.Kwa jinsi hiyo gati ilivyosogea kwenye maji inaonekana ni bandari kubwa. Chato si pa kubeza ni pakwenda kuwekeza.