Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aToka Dar es salaam hadi bagamoyo kwa basi ni dakika saa moja kwa hiyo mnataka kila mwendo wa saa moja pajengwe bandari? huo ni ufisadi Kwa baharini ukitumia meli kutoka dar hadi bagamoyo ni dakika 20 ni njia ya short cut !!! Acha hizo
justification za wezi hizo!!! Awamu zilizopita wakitaka kukwapua walikuwa hawakosi sababu hewa za kulaghai wananchi!!!Kwa akili zako unadhani ujenzi wa Bandari unaangalia umbali?? Hivi izo akili zenu lumumba mlimpaga nani??? Unajua Bandari ya Bagamoyo inahusisha ujenzi wa nini na nini?
a
justification za wezi hizo!!! Awamu zilizopita wakitaka kukwapua walikuwa hawakosi sababu hewa za kulaghai wananchi!!!
Bado sana huko, fursa ndiyo kwanza zinafunguka.Wewe ndio unakumbuka shuka wakati kumekucha watu walishawahi kule mapemaa hasa ndugu zangu wachangamkia fursa kabla wengine hawajaamka yaani wachaga walishatua Chato kitambo!!!
Wa Chato sio Tz!Tumfanye awe Raisi wa maisha kabisa
Mmewauliza wa Chato, hawana kiwanda chao? Wana kila kitu kule!
Na hakuna mwenye ubavu wa kumhoji. Hii katiba yetu imeoza.Jamaa linajipakulia minofu yote. Hafichi chini ya ubwabwa wala nini wazi wazi anakombeleza.