Bandari ya Nyamirembe - Chato ipo tayari kwa matumizi

Bandari ya Nyamirembe - Chato ipo tayari kwa matumizi

Kwa akili zako unadhani ujenzi wa Bandari unaangalia umbali?? Hivi izo akili zenu lumumba mlimpaga nani??? Unajua Bandari ya Bagamoyo inahusisha ujenzi wa nini na nini?
Toka Dar es salaam hadi bagamoyo kwa basi ni dakika saa moja kwa hiyo mnataka kila mwendo wa saa moja pajengwe bandari? huo ni ufisadi Kwa baharini ukitumia meli kutoka dar hadi bagamoyo ni dakika 20 ni njia ya short cut !!! Acha hizo
a
 
Kwa akili zako unadhani ujenzi wa Bandari unaangalia umbali?? Hivi izo akili zenu lumumba mlimpaga nani??? Unajua Bandari ya Bagamoyo inahusisha ujenzi wa nini na nini?

a
justification za wezi hizo!!! Awamu zilizopita wakitaka kukwapua walikuwa hawakosi sababu hewa za kulaghai wananchi!!!
 
Wewe ndio unakumbuka shuka wakati kumekucha watu walishawahi kule mapemaa hasa ndugu zangu wachangamkia fursa kabla wengine hawajaamka yaani wachaga walishatua Chato kitambo!!!
Bado sana huko, fursa ndiyo kwanza zinafunguka.
 
IMG-20210112-WA0015.jpg
 
Back
Top Bottom