YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Magufuli kawapelekea maendeleo mbona cheki meli ya kisasa hiyoHata Kigoma wanaishi watu si ngedere na wanastahili kupata maendeleo
Ujenzi wa barabara ya bilioni 360 huo kigoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli kawapelekea maendeleo mbona cheki meli ya kisasa hiyoHata Kigoma wanaishi watu si ngedere na wanastahili kupata maendeleo
Magufuli kawapelekea maendeleo mbona cheki meli ya kisasa hiyo
Ujenzi wa barabara ya bilioni 360 huo kigoma
Kiwanda cha nguzo za umeme kigoma hichoHata Kigoma wanaishi watu si ngedere na wanastahili kupata maendeleo
Kama 20km kutoka Chato town, ila ipo Wilaya ya Chato njia ya kwenda MulrbaIko umbali gani kutoka Chato? Mbona wengi wanasema ipo Chato
Kwani ya Bagamoyo mmiliki ni TPA?Kuna Bandari ngapi zimekufa Tanzania? Mbona ya Bagamoyo ujenzi umewekwa kapuni?
CHUO cha VETA cha kisasa hicho hapoNako kuna hospitali ya Kanda au Chuo cha kisasa cha veta?
Kuna ubaya wowote?Tena Jiji la kisasa
Toka Dar es salaam hadi bagamoyo kwa basi ni dakika saa moja kwa hiyo mnataka kila mwendo wa saa moja pajengwe bandari? huo ni ufisadi Kwa baharini ukitumia meli kutoka dar hadi bagamoyo ni dakika 20 ni njia ya short cut !!! Acha hizoMbona ya Bagamoyo ujenzi umewekwa kapuni?
kama 5/4 kutoka chato mjini.Iko umbali gani kutoka Chato? Mbona wengi wanasema ipo Chato?
Wewe ndio unakumbuka shuka wakati kumekucha watu walishawahi kule mapemaa hasa ndugu zangu wachangamkia fursa kabla wengine hawajaamka yaani wachaga walishatua Chato kitambo!!!Kwa jinsi hiyo gati ilivyosogea kwenye maji inaonekana ni bandari kubwa. Chato si pa kubeza ni pakwenda kuwekeza.
5/4 km?kama 5/4 kutoka chato mjini.
nauri kwa matatu ni buku kutoka hapo kwa mkuu hadi nyamilembe
Mv Clarias imeitumia sana bandari hii. Ilikuwa inapiga trip za Mwanza Nyamirembe na Mesome. Bandari ya siku nyingi hii.Sawa lakini isiwe kigezo cha kuua bandari ya Kemondo Bukoba, kwa kuwa ziko jirani.
Hiyo tunamwachia Wang YiBado kiwanda cha samaki
Sawa lakini isiwe kigezo cha kuua bandari ya Kemondo Bukoba, kwa kuwa ziko jirani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sawa sawaa mkuuWacha niwaalike wale jamaa wenye matangazo ya Nguvu za kiume. Jamii forum wameisahahu sana.