Bandari ya Nyamirembe - Chato ipo tayari kwa matumizi

Mkuu wanajenga na hospitali kubwa hapo, watakuwa na chuo kikuu cha afya. Wahi sasa ardhi bado cheap. Ukishikwa shikamana.
Usiwekeze hata laki yako chato, maana siku Magufuli anatoka madarakani patakuwa kama Gbadolite ya Mobutu, heri hata na detroit
 
Pengine tunalalamika hali ngumu labda Chato kutakuwa na nafuu, kila kitu kipo kule sasa.
 
Yaan mtu atoke muleba au bk vijijini aache kwenda bandari ya kemondo aende chato km 150?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ