Bandari ya Zanzibar yabinafsishwa kwa kampuni ya kigeni, wazalendo wahoji

Kwani kutoa tender ndiokuuzwa mbona Bara kwetu kuna TICTs
 
Sio kwa ccm hii unataka wao walewapi? Starehe watafanyia mawe?
 
Nyerere alionya sana ubinafsishaji.

Alihofu hata magereza yatabinafsishwa.
Magereza yapo njiani kubinafsishwa. Leo hii unaweza kukodi wafungwa wakufanyie kazi zako. Hiyo ni hatua ya kwanza kuelekea ubinafishishaji.
 
Mdharau mwiba mguu huota tende.

Bandari ya Malindi imeuzwa kwa kampuni ya Bollore ya Ufaransa! Hussein Mwinyi na Toufiq Turky wamepewa asilimia thelathini ya mkataba, Wafaransa wamebaki na asilimia sabini! Zanzibar iko mnadani!

Au ni kweli?

 
Tunasubiri Jusa atasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…