Bandari za Tanganyika hazijauzwa wala kukodishwa kwa waarabu wa Dubai bali zote wamepewa bure!

Aliyefikiria swala muungano alikosea sana sijui aliwaza nini mtu atoke huko Zanzibar aje atutawale huku mbaya zaidi bunge nalo ni dhaifu
 
Mkuu ni afadhali alijenga nchi japo upande wa demokrasia hakuwa vizuri but maeneo mengi alikua vizuri.

Huwezi pata kiongozi perfect kila eneo.
Hao wanaoauza Nchi Wote Ndiye Aliwapeleka
Bungeni. Hakuwa na Maono zaidi ya Ubabe
 
Tz ilipata kiongozi mzuri mkawa mnamtusi humu,ukitoa mapungufu kidogo tu alikuwa anaipenda nchi yake.
Sasa mtajua hamjui.
Lile nalo ni jinga sema ukali wake ulilifanya lionekane bora
 
Mkuu ulihitimu chuo gani katika hiyo kozi yako ya kufitinisha?
 
Nae aliwahi kutupeleka utumwani Dubai?
Alitupeleka utumwani kwao Isimani kwao alivyokuwa anaiba ardhi za watu na kujimilikisha ni jambazi wa mali za watu tusidanganyane ni nyangau kama manyangau mengine
 
Mkuu hapo nakataa
Jpm alikuwa hajui concepts za uchumi mbeleni tulikuwa tunaendelea kukwama.Huwezi kutangaza vita live na wazungu wenye remote remote ya uchumi wetu na afya zetu.
 
Wakati mnaendesha wenyewe mmepata faida gani?
Hakuna, na ndio maana nasema ni aibu kwamba tunashindwa kuendesha taasisi zetu hadi leo, je tunataka kuendelea kutawaliwa na wageni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…