Hivi Kwa zama hizi kweli unaweza epuka maudhui ya video kweli ...?maana maudhui mengi yenye jumbe nyingi zipo Kwa njia ya video.Epuka maudhui ya video, bando lita dumu sana
Kwangu mimi Vodacom imekua bora kwa matumizi ya intanet, bando la 1000 kwa siki 3 walao linafika siku ya pili karibu na ya tatu.
Ni vigumu kiasi chake kiyaepuka ila kwa vile ni ndani ya uwezo inaweza kuwezekanaHivi Kwa zama hizi kweli unaweza epuka maudhui ya video kweli ...?maana maudhui mengi yenye jumbe nyingi zipo Kwa njia ya video.
Kama unatumia;Wadau mnatumia nn Kwa matumizi ya bando maana bando lote baada ya masaa shwaa eh 🙌🏾 adi kero
Naam,jizuie na aina zote za videos,wala usipakue hata kama unanjaa,,deal na maudhui ya maneno kama uionavyo jf.unatumia sana tiktok au insta reels? hapo lazima bando liende shwaaa!
Yaan Tena sisi wauza nguo 🙌🏾Hivi Kwa zama hizi kweli unaweza epuka maudhui ya video kweli ...?maana maudhui mengi yenye jumbe nyingi zipo Kwa njia ya video.
Yaan duh!Kama unatumia;
- Youtube
- Tiktok
We sahau habari ya bando hata uweke la laki mbili kwa mwezi halitoshi..
Yaan Kama upepo linakwea pipaunatumia sana tiktok au insta reels? hapo lazima bando liende shwaaa!
Aya wa sasa tuache wazamaniUko kizamani Sana tumia VPN (virtual private network) unlimited ni wewe uwezo wako wa kutumia simu unaweza kukesha.
App zote ni viwavi, watu wengi hatuelewi kuwa zikiwa wazi zinatafuna data bila huruma!Punguza matumizi yasiyo ya msingi, hakikisha unapofungua app fulani unaifunga kwa wakati, kabla haujafungua app nyingine.
TTCL hii hii wamfungie nyumbani kwakeChukua 10, 000/- tafuta line yenye promo nunua la mwezi.
Mbadala WASILIANA NA TTCL wakufungie nyumbani kwako/ofisini. 55, 000/- kwa mwezi
Nayo inachangia piaApp zote ni viwavi, watu wengi hatuelewi kuwa zikiwa wazi zinatafuna data bila huruma!
Naskia mpaka utoe ya ziada I mean rushwa ndo inakuja mapemaTTCL hii hii wamfungie nyumbani kwake
😀 Labdah....Ila kusema kwamba utapata huduma unaweza subiri mpaka unazeeka hujaipata tuNaskia mpaka utoe ya ziada I mean rushwa ndo inakuja mapema
Acha kuzeeka adi kuzikwa unazikwa😹🙌🏾😀 Labdah....Ila kusema kwamba utapata huduma unaweza subiri mpaka unazeeka hujaipata tu
Chukua router ya voda au airtel una tembea nayo.Internet imekuwa ni luxury na sio hitaji la msingi.
Dawa ni kufunga router, halotel ya elfu 70 unapata speed ya 10mbps, 95 elfu mb40 per second, tatizo ni huwezi kutembea nayo, ni mpaka uwe nyumbani, sisi wazee wa kuganga njaa, mihangaiko na misele mingi, mpaka urudi home, inakuwa haina thamani ya pesa, ila ukishinda home ni kitonga haswaaa.. Wanafamilia mnatumia, mnaunga kwenye tv yaani safi sana
Nili enda kujaza fomu zaidi ya miezi 3 eti vifaa havipo, Baada ya kuji ongeza wali leta kufunga wenyewe.TTCL hii hii wamfungie nyumbani kwake