Bando linapaa hadi kero

Bando linapaa hadi kero

Epuka maudhui ya video, bando lita dumu sana
Kwangu mimi Vodacom imekua bora kwa matumizi ya intanet, bando la 1000 kwa siki 3 walao linafika siku ya pili karibu na ya tatu.
Hivi Kwa zama hizi kweli unaweza epuka maudhui ya video kweli ...?maana maudhui mengi yenye jumbe nyingi zipo Kwa njia ya video.
 
Internet imekuwa ni luxury na sio hitaji la msingi.

Dawa ni kufunga router, halotel ya elfu 70 unapata speed ya 10mbps, 95 elfu mb40 per second, tatizo ni huwezi kutembea nayo, ni mpaka uwe nyumbani, sisi wazee wa kuganga njaa, mihangaiko na misele mingi, mpaka urudi home, inakuwa haina thamani ya pesa, ila ukishinda home ni kitonga haswaaa.. Wanafamilia mnatumia, mnaunga kwenye tv yaani safi sana
 
Internet imekuwa ni luxury na sio hitaji la msingi.

Dawa ni kufunga router, halotel ya elfu 70 unapata speed ya 10mbps, 95 elfu mb40 per second, tatizo ni huwezi kutembea nayo, ni mpaka uwe nyumbani, sisi wazee wa kuganga njaa, mihangaiko na misele mingi, mpaka urudi home, inakuwa haina thamani ya pesa, ila ukishinda home ni kitonga haswaaa.. Wanafamilia mnatumia, mnaunga kwenye tv yaani safi sana
Chukua router ya voda au airtel una tembea nayo.
 
Gb 5 kwa mwezi kwa elfu 10 tu airtel SME
Sponsored by geosir
Screenshot_20250303-220844.jpg
 
Back
Top Bottom