Bando linapaa hadi kero

Bando linapaa hadi kero

Internet imekuwa ni luxury na sio hitaji la msingi.

Dawa ni kufunga router, halotel ya elfu 70 unapata speed ya 10mbps, 95 elfu mb40 per second, tatizo ni huwezi kutembea nayo, ni mpaka uwe nyumbani, sisi wazee wa kuganga njaa, mihangaiko na misele mingi, mpaka urudi home, inakuwa haina thamani ya pesa, ila ukishinda home ni kitonga haswaaa.. Wanafamilia mnatumia, mnaunga kwenye tv yaani safi sana
Hawana za mikononi
 
Hizo
 

Attachments

  • Screenshot_20250303_222809_Chrome.jpg
    Screenshot_20250303_222809_Chrome.jpg
    224 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250303_222747_Chrome.jpg
    Screenshot_20250303_222747_Chrome.jpg
    260.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom