Bangi Meru yawaponza OCD, OCCID, DSO. Rais Magufuli awaondoa | Amthibitisha James Kaji kuwa Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya

Kwa hiyo wale tuliokuwa na tumaini LA kilimo cha bangi kuhalalishwa ili tupige hela awamu hii ndio tushaumizwa hivyo!?
Futa kabisa. Kamishina wa sasa yupo kikazi zaidi
 
Rushwa ndo haivumilika lakini suala dogo la kiutendaji ndo mpaka wakubwa wapate taarifa???? Kuna kujisahau au kuzidiwa ujanja inabidi tusaidiane
 
Bangi haijawahi mteketeza mtu labda iwe imechanganywa na vitu vya kijinga. Ligeuzwe kuwa zao la kibishara
Hao watakuwa siyo ccm ndo maana! Uza bangi uwe Mwana ccm, haufuatwi. Wengine wanaweka tu bendera ya ccm mambo shwari kabisa.

Hao waliotumbuliwa na bangusilo tu.😀
 
... kwani kuna Arumeru na Meru? Formally Arumeru nowadays Meru.
Mbona arumeru makao yako ngaramtoni? Na meru ndio hapo usariva na arusha ni pale philips na manispaa ni mjini kati. Au nimekosea.
 
Wengi wamesahau wajibu wao wapo busy na wapinzani pumbavu kabisa.
 
Shida ya polisi Arusha group kubwa hupangwa barabarani kukusanya pesa kwenye magari
Maaskari wa operations ni wachache sana. Ukiwa na shida ukienda kituoni unaambiwa askari hakuna. Lakini brabarani utakutana nao kila baada ya mita mia.
Nadhani hiki jambo limemshinda IGP
Ni muda muafaka sasa Mh Rais aliingilie ili usumbufu barabarani upungue na nguvu kubwa ielekezwe kwenye matukio kama hayo ya bangi na ujambazi.
 
Pongezi kwa kamishna mpya Bwn. Kaji.
 
Hata DC naye angepigwa chini yeye ana kazi ya kushabikia Yanga huku watu wanateketea kwa bangi.


Na ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, kama mtu kutoka Dar amekwenda na kuyaona hayo maana yake ni kwamba wilaya haikuwa salama hata kidogo
 
Waanaambiwa wawe bize na kazi za kuisaidia CCM kubaki madarakani, huku majukumu yao ya kimsingi wakikosa muda wakuyashughulikia.

Mwishowe anawaambia wameshindwa kazi!!
Ndo.apo sasa kakangu,mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe,ila nao wanazid mno kuutesa UPINZANI
 
Chadema watapinga na kusema Lisu tu ndiyo shujaa wa bangi
Wewe Dada haiyumkini unaishia buza kwa lulenge kwani tabia yako inaakisi maeneo hayo! Lissu atarudi tu na atagombea hata Kama hutaki! Kama vipi kunywa sumu ufe itapendeza!
 
hivi wana CCM wenzangu mbona mna nye-ge na Chadema kiasi hichi? aibu kwa chama!
Bora umewaona! Hao ndio wanafiki ninaowasema kila siku kuwa wamejazana ccm kwa maslahi yao yasiyosaidia chama na kimsingi wanaipigia promo cdm ili ijulikane zaidi!
 
Kama DSO ( District Security Officer ) au Afisa Usalama wa Taifa wa Wilaya ya Arumeru ametumbuliwa Leo na Bosi wake Mkuu Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli je, hii haitoshi labda kuwa ni wake up call kwamba huenda kwa sasa Idarani huko kuna Watumishi wasio na maadili ambao wanaweza siku moja kuja Kuigharimu hii nchi?

Sasa kama tu DSO anakuwa na Mapungufu haya Kiutendaji vipi kwa hawa RSO's na hata Mkurugenzi Mkuu na Makamu wake? Wajitathmini upesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…