Eng Hanscana La Cavella
Member
- Jan 15, 2018
- 79
- 65
We jamaa unaonekana mtoto sana.Sjawahi kula bange ila yakuvuta nishatumia so hiyo ya kashata mkuu naiman inaingia kwenye utumbo tu na ya kuvuta inapanda kichwan
Nitake radhi mkuu nizaid ya miaka 8 sasa naismokWe jamaa unaonekana mtoto sana.
Na bangi hauijui unaisikia tu tena si ajabu hata kuishika hujawahi.
Na kama umeshawahi basi walikuwa wanakuvutisha kinyesi na majani ya mpapai we ukidhani unavuta bangi
Dogo bangi huijui wewe umesikia tu stori kutoka kwa watoto wenzako.Nitake radhi mkuu nizaid ya miaka 8 sasa naismok
Kwani mtu akinywa pombe inaingia wapi kama sio tumboni? Je mbona analewa inakuwaje? Wakati pombe haikuingia kichwani?Sjawahi kula bange ila yakuvuta nishatumia so hiyo ya kashata mkuu naiman inaingia kwenye utumbo tu na ya kuvuta inapanda kichwan
Ongezea na 10 ndiko tuliko sisi wengineNitake radhi mkuu nizaid ya miaka 8 sasa naismok
Nataka kuona huo utofautiSina uhakika kama za kashata zinauwezo wa kufungua brain kama ilivyo kwenye zile za kuvuta
Ushawahi kutumia?Marijuana inaweza vipi kukuonesha mambo ya kidunia?
Kwamba ukitumia herbs ndiyo unajua mambo yanayotukia duniani?
Kama mtazamo wako ni huh basi umepotoka.
Herbs haikufanyi ujuwe mambo
Kufahamu mambo na kuwa mwerevu hiyo ni zao la kujituma na kuwa mdadisi si vinginevyo.
ihihi bangi inategemea na fuse zako kichwani zimekaaje ndo jinsi itakavyokupekeka atiiBangi jaman mmea wa ajabu sana nilijalibu kuivuta kiukweli kunavitu nimevigundua kumbe kwa akili ya kawaida huwezi kuvijua kunavitu kabisa inakuonesha ambavyo ukiwa ktk hali ya kawaida huwezi kuvijua kwa uelewa wetu wa kawaida huwezi jua sema inakufanya kujitenga na nimegundua kumbe ndio maana inazuiliwa kutumiwa coz unakua muelewa automatically afu inakuletea fikra + sema inahitaji brain ya kustahimili mikikimikiki yake
Unaendelea tu haina shida kama kichwa chako ni kizuriJe ukinogewa?
Hhaaa ilikuaje mkuuDay one nilivuta cha Arusha, yaliyojiri baada ya hapo ilikuanibattle kubwa na akili yangu, kidogo nipoteze lkn nikashinda na baada ya hapo nikanyoosha mikono juu
Mkuu, [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] Atiiii[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Mi ganja sivuti tena nkivuta inanipa nidhamu ya woga kishenzi. Nlikua nimelala room mdogo wangu akajakunistua broo, nikajikuta nasema "shkamoo mama.."
Una-mbawa na unapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Weed poa sana lileBangi ni kitu Cha kawaida tu.. stimu yake ni kama sigara.. sema ukivuta kete nyingi afu ni siku yako ya Kwanza .. lazima ujione upo juu juu.
Mjani oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeekuna jamaa alivuta sasa wakati anarudi home kufika sebuleni kwao akamkuta dingi yake amekaa anasoma gazeti, jamaa akasimama akamcheki mzee kwa makini kama dakika moja hivi then akamuuliza 'oya bro kama nakufananisha vile hivi tushawahi onana wapi!?'
hahahaha we jamaa hatari sanaZenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Thank to bro Mohd. Alikuwaanapiga sana weed na bro J, huku dogo nikiwashuhudia. Kuna siku uvumilivu ukanishinda, nikataka kujaribu. Nikaomba. bro J. si akafanya kama ananipa vile, Bro Mohd akanichapa bonge la konzi. Akaniambia ukisogelea nakuongezea,wakati huo nundu la konzi la kwanza lilikuwa limeshaanza kuvimba. Nikachomoka kwenda kulala. na hiyo ndo, ikawa nafuu yangu.Day one nilivuta cha Arusha, yaliyojiri baada ya hapo ilikuanibattle kubwa na akili yangu, kidogo nipoteze lkn nikashinda na baada ya hapo nikanyoosha mikono juu