MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
mwanzo 1: 31 Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.
bangi siyo mbaya ila ni namna gani unavyoitumia ndo inakua mbaya kwako, wewe jaribu kula maandazi kama 50 hivi ndo utajua ngano ni nzuri au mbaya
ahahhahaa [HASHTAG]#ulaaniwe[/HASHTAG]