Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

K Kiongozi nisaidie kidogo iyo acc ya dollar inakuwaje.
Kila bank unaweza kufungua account ya dollars kwa maana hyo pesa uliyonayo uibadili kuwa ktk dollars kisha uiweke. Halafu unakua unacheck dola imepanda kwa kiasi gani halafu unawithdraw dola chache kulingana na mahesabu yako. Ilimradi isishuke au isipungue ile uliyoweka kama mtaji.
 
Kila bank unaweza kufungua account ya dollars kwa maana hyo pesa uliyonayo uibadili kuwa ktk dollars kisha uiweke. Halafu unakua unacheck dola imepanda kwa kiasi gani halafu unawithdraw dola chache kulingana na mahesabu yako. Ilimradi isishuke au isipungue ile uliyoweka kama mtaji.
Umenifungua akili sana mkuu sijawahi kuwaza kitu kama hiki, salute kwako !
 
Kama umebase na fixed ac nenda kwa hizi bank ndogo zinarate nzuri kuliko bank kubwa. Hii ni kwa sababu hazina deposit ya kutosha ya kutoa mikopo kwa wateja wake kitu kichozilazimu zichukue mikopo BOT na kwa sasa treasury bills ambazo kwa sasa zipo 9.5% tofauti na mabank makubwa ambayo yanapata deposit bure toka kwa wateja tena bank kama crdb inakupiga na charges yaan deposit unawapa bure na bado wanakuchaji lakini kunawatanzania wanakubali pengine kwa kutojua thamani ya deposit zao
 
INATEGEMEANA NA BENKI, TEMBELEA BENKI ZOTE HALAFU KUTANA NA MANAGER UFANYE NAYE MAZUNGUMZO. ILA FNB pale sinza ndio kidogo naona ina interest nzuri ila jaribu kuzunguka.
Jamani kuna ka hela kangu kama 20mil nimekapata ghafla... Wakati nafikiria cha kufanya nimeona nibora niiwekwe bank kwanza. Mwenye kujua bank yenye interest nzuri anisaidie ili niweze kupata kijifaida wakati naendelea kutafakari.
 
Kila bank unaweza kufungua account ya dollars kwa maana hyo pesa uliyonayo uibadili kuwa ktk dollars kisha uiweke. Halafu unakua unacheck dola imepanda kwa kiasi gani halafu unawithdraw dola chache kulingana na mahesabu yako. Ilimradi isishuke au isipungue ile uliyoweka kama mtaji.
Hii nimeipenda
 
sasa ate ziko @ 12% p.a ila nenda uangalia options na ushauriane na investmnet banke
 
Bora uipeleke kwenye soka la hisa fixed account miyeyusho

Soko la hisa

1. Sio azima ulipwe dividend, inategemea na maamuzi ya AGM

2. Sio lazima hisa ziongezeke value. Zinaweza kushuka (Angalia NBC, Precision na futalilia hata Vodacom itakuwa hivyo hivyo). Makampuni yakiwa stage fulani ya ukuaji hisa zinakuwa sio dili. Hisa zinafaa kunua wakati kampuni bado inaukuaji mkubwa

Kwa hli ya sasa TZ bora fixed deposit ila unaweza kupata rate mnzuri zadi kwa kutumia fund managers ambao wanakusanya hela nyingi na ku-negotiate vizurir zaidi.

Check with Unit Trust vile vile
 
Soko la hisa

1. Sio azima ulipwe dividend, inategemea na maamuzi ya AGM

2. Sio lazima hisa ziongezeke value. Zinaweza kushuka (Angalia NBC, Precision na futalilia hata Vodacom itakuwa hivyo hivyo). Makampuni yakiwa stage fulani ya ukuaji hisa zinakuwa sio dili. Hisa zinafaa kunua wakati kampuni bado inaukuaji mkubwa

Kwa hli ya sasa TZ bora fixed deposit ila unaweza kupata rate mnzuri zadi kwa kutumia fund managers ambao wanakusanya hela nyingi na ku-negotiate vizurir zaidi.

Check with Unit Trust vile vile

good advice, ...Angalia NBC... hapa ulimaanisha NMB? not sure NBC ipo huko?
 
Mkuu nakushauri usinunue hisa kwa huu mdororo wa uchumi, ni kipindi kizuri nunua dollar, shillings inaporomoka dhamani so dollar itaendelea kupanda dhamani, hivyo kila ongezeko litakalopatikana uwe unatoa kama faida kwako, pili nakushauri nunua kiwanja kilichopimwa na hati zote kiwe sehemu nzuri, muda wowote utaweza uza na kwa bei ya faida.
 
Back
Top Bottom