Wacha kumsifu mwanaume mwenzakoUkijua kwamba Mark Zuckerberg wa Facebook anaweza kupoteza dola bilioni kumi wiki hii na kuzirudisha ndani ya miezi michache, due to stock market fluctuations, hapo ndipo utajua chumi zetu changa.
Hizo hela zake tu, si za Facebook.
Kwanza kabisa kumsifu mwanamme mwenzangu, kama sifa zinastahili, si hatari wala ajabu.Wacha kumsifu mwanaume mwenzako
Message sentMadalakani ni mdudu gani?jifunze kwanza kutofautisha L na R alafu uandike tena huu utumbo wako.
Relate with other African countries before talking of Dangote. Did you know the total wealth of the world is only owned by 1%? Then thats when we can talk about Dangote. And the wealth of Dangote is not measured through the total money he has but his investments. Dangote unawezakuta hana hata $1Billion kwenye account yake. Hilo ndomsilo elewa. Rich people dont stay with cash. They always keep it into businessDangote is richer than BOT's reserve.
Kuna wakati watanzania tusifurahie baadhi ya vitu. Vinatufanya tuonekane kama tuna akili za kimasikini.
Tungekuwa na reserve ya kuanzia $50B ndo tuongee. Ila hiko kiasi ni kidogo mnoooo.
We si umetangaziwa we ushaziona izo 5$b au jamaa akikunja sura na kuifanya sereous kama kipindikile cha makinikia mnaona ndio evidenceAtupe evidence
Kwa taarifa yako sio $5B balini $5.8B. Hiyo ni taarifa kutoka BOTWe si umetangaziwa we ushaziona izo 5$b au jamaa akikunja sura na kuifanya sereous kama kipindikile cha makinikia mnaona ndio evidence
Singaporean dictator ndio aliinua uchumi wa Singapore, Ghadaffi, Hosni Mubarak, Assad,
merkel of Germany, xi jinping etc, don't be held hostage kwa kikaratasi chenye maandishi ya bin Adam, anaweza adhere anaweza ignore,
kama mtu ana manufaa yaliyozidi sana hasara, why not go on with his/her
poor country only $5b
Labda unge - google katiba ya APK, ili ufahamu kuwa unaweza kugombea uwaziri mkuu mara tatu tu. Kwa Erdogan, 2014 hakuweza kugombea uwaziri mkuu kwa sababu hiyo.Ubishi wewe ndiyo unaleta. Ebu weka hapa ushahidi unaoonyesha hilo badiliko la kuongeza muda. Ninachofahamu kwenye ile constitutional referendum, badiliko kubwa ni hilo la kufanya presidency kuwa an executive post, na siyo ceremonial, ambapo Bunge lilichagua Rais. Ila presidential term bado ni ile ile miaka 5, na kugombea tena mara moja tu.
Na hilo la presidency kuwa executive post litaanza kwenye uchaguzi wao wa mwakani.
Sasa unaongelea constitutional referendum ya 2007, wakati Erdogan ni PM? Mtu ambaye kaja kugombea Urais mwaka 2014? Hiyo 2007, sikuwa Istanbul. But, nime-peruse webpages na zinaonyesha in fact presidential term ilipunguzwa kutoka miaka 7 hadi 5 hii ya sasa.
Mimi naongelea latest referendum iliyofanyika mwaka jana. Ambayo ime-cement juu ya presidential term. Angalia article 101 ya katiba yao mpya, iliyokuwa amended mwaka jana. Inasema kabisa kwamba "The term of the office of the President is five years. One person can be elected no more than twice."
Sasa sijui nani anayeleta ubishi hapa?
I dont know what are you talking about, but anyways ....wa kipindi chake PM ndiye alikuwa head of government. Sasa kuanzia mwakani nafasi ya uPM itafutwa Uturuki. Na PM upendekezwa na Rais, kwa maana hiyo Erdogan hakujiweka tu kwenye uPM. Na wala ha
Hehe ......Russia usidanganyike na mbwembwe za Putin. Hata kwenye OECD haimo. Russia wamo kwenye BRICS: Brazil, Russia, India, China na South Africa. Hizi ni emerging economies. Huwezi kusema nchi zilizoendelea kwa level ya OECD countries (ambapo Turkey ni member).
Anayejidanganya ni wewe.
Swali langu bado linasimama: nitajieni nchi moja tu ambayo incumbent president alijiongezea muda wa kutawala ili alete maendeleo.
Nimependa sana uchambuzi wako.Kwa hiyo mzee, Magufuli ni dictator siyo? Naona low-key acceptance. Unasema Magufuli anafanana na Assad, Ghadaffi na Mubaraka!! Kwa hiyo hizi nchi ulizozitaja zimeendelea? Ebu ziangalie kwenye Human Deveopment Index zipo nafasi gani.
Singapore unaitaja bila kuelewa ni namna gani ilivyofika hapa. Unajua kwenye 1960s-1970s tu ilikuwa maskini kama Tanzania? Yew alikuwa visionary: alizingatia zaidi economic growth, alivuta sana expats ili walete world class manpower, aliweka transparency katika mfumo wa ukusanyaji na matumizi ya kodi, alizingatia ufanisi na ubora katika utendaji serikalini, aliweka mfumo imara sana wa kisheria na alizingatia sana sheria, aliwekeza kwenye mfumo bora kabisa wa public education (ndiyo maana hadi leo Nanyang Technological University (NTU) na National University of Singapore (NUS) ni moja ya vyuo bora kabisa duniani: NTU ni cha 11 kwa ubora duniani na NUS ni cha 15). Na human capital ndiyo ilikuwa one of the main drivers of the 'Singapore miracle'. Yew aliwekeza kweli kweli kwenye elimu; na alifanya kila namna kuhakikisha ana-retain talented citizens. NUT iliongoza kwenye technological innovations zilizo-drive manufacturing industries. Pia Yew hakuwa na mzaha kabisa na rushwa, ndiyo maana aliacha mahakama (na mfumo wa haki) ziwe huru na wazi ili zidili vyema na wala rushwa bila kuingiliwa na serikali. Na hadi leo Singapore bado inategemea sana foreign high-calibre workers na business people, thanks to Yew. Singapore siku zote ina rank highly kwenye suala la mazingira bora ya kufanya kazi na biashara, thanks to Yew. Na hadi leo hawana mzaha na rushwa hata kidogo.
Sasa unataka kumfananisha Yew na huyu kituko wetu? He isn't visionary; he is intellectually inept; he lacks even substance in his normal talks. Hakuna hata moja ambalo Yew alifanya kwa Singapore, this charlies of ours analifanya.
Kwamba Merkel ni dictator ama kajiongezea muda? None of the two ni sahahi. Kwa sababu Katiba ya Ujerumani haina term limit kwenye nafasi ya the Chancellor. So, Merkel can vie for chancellorship as many times as she can.
Unamtaja Xi, mtu ambaye ndiyo kwanza Katiba imebadilishwa. Lakini kama nilivyosema awali, China wameshaendelea hata kabla ya badiliko la presidential term limit. Na kama ni mfuatiliaji wa siasa za China, badiliko hilo halihusiana hata kidogo na narrative ya kupata muda wa kuleta maendeleo. Linahusu zaidi internal na regional power struggles, jiongeze kidogo iki upate kuelewa.
Magufuli ana manufaa gani? Zaidi ya ufisadi (alioanza kufanya toka akiwa waziri; na anaoendelea kuufanya sasa kwa kuweka mambo yahusuyo fedha za umma, mikataba, tenda n.k., gizani), uroho mbaya (kutamka wazi kwamba anataka wananchi waliomchagua waishi kama mashetani), ujinga (ni intellectually inept), upambaji wa rushwa (siyo upambanaji, ref. Mnyeti, na biashara ya kununua wapinzani na wasanii) n.k.
The charlie has been part of corrupt CCM governments for 20+ years. He did nothing special or extraordinary to differentiate himself from the rest of CCM crooks. In fact, kama nilivyosema, he was (still is) himself very corrupt (ref. CAG reports on Dar Ferry, government houses, road construction contracts) na mwenye maamuzi ya kukurupuka yaliyoitia serikali hasara (ref. Furahisha petrol station, na 'samaki wa Magufuli' saga).
Kama manufaa, anayo kwa CCM na posse yake tu.
.
You can hardly dictate a parliament.
.
Erdogan is tring to be a Sultan. Mark my words and watch this space when he becomes one. So far he has guaranteed himself absolute power till 2029. Kama hujui hili basi utakua unasoma vitu for the sake of countering arguments which is exactly what I thought..
.
I dont know what are you talking about, but anywa
Russia has The worlds 12th largest GDP.
It's the world's powerhouse (yes, as in mitochondria). I'm not only talking about military power, but also energy reserve This is a bad combination. It's like an elephant with a pitbull's ferocity.
Russia has a higher HDI and GDP per capita than Turkey.
OECD???
Czech Republic, Poland, Hungary, Mexico ............. They are members of OECD.
kEEP LYING TO YOURSELF.
Ushaanza kubadilisha magoli.Why is there a need to dictate a parliament in a so called democratic country? Hapa siyo kujipa absolute powers? Ndiyo mnataka Magufuli afanye hivyo? In fact ameshaanza kufanya kwa biashara yake ya kununua wapinzani.
Sidhani kama ni mwelekeo sahihi. Kwani it has proven problematic, na success stories are rare.
One thing that I have been saying is for Magufuli to change the Katiba and delete the article that proclaims Tanzania as a democratic country. Kufanya hivyo, hatokaa asikie wakina siye tunamsema. But, as long as we are a democratic (though on paper), then we should act like one. Na siyo kutumia mifano ya nchi zenye flawed democracy ku-validate your ill ambitions
Wasn't this obvious when I said kwamba mabadiliko yanaanza kufanya kazi mwakani? Na kwa 5 years term (twice), Erdogan atatawala mpaka 2029. Then, huo ndiyo mwisho wake. Sioni ni wapi kuna yeye kujiongezea muda wa kutawala, kama mnavyotaka kwa huyu kituko Magufuli. Huo usultani ni wewe kupiga ramli tu. It is an abstract imagination
Whatever the case, kama ndivyo mnavyomshauri huyo kituko wenu, kwamba ajifunze kutoka Urusi, basi kazi ipo. Kwanini hamtaki kujifunza kwenye nchi ambazo standard of living na HDI ni the highest? Mnataka kujifunza kutoka kwenye flawed democracies ili m-legitimise ndoto zenu ovu.
Nimekwambia Urusi ni Moscow na St. Petersburg tu. Huko kwengine ni hoe hae tu. Uchumi wa Urusi upo mikononi mwa oligarchs wachache. Hivyo pengo kati ya haves na haves not ni kubwa mno. Sidhani kama huo ndiyo mwelekeo unaotufaa. Kuna nchi za kujifunza na zenye kufaa kuiga, lakini Urusi na Uturuki, haziwezi kuwa moja ya nchi hizo. Uswisi, Nordic countries, New Zealand, Australia, hizi ndizo zinafaa kujifunza namna wanvyoendesha siasa zao na namna siasa zinavyochangia kwenye ustawi bora wa jamii na nchi zao.
Na ndiyo, Czech, Hungary na Poland zina rank higher than Russia kwenye HDI. Hivyo standards of living are better than in Russia.
Mnaonufaika na utawala huu mnaangaika sana kuwaza after ten years itakwaje mkate ukiisha....fanya ya maana kama upo kwa system achana na huo upuuzi wa 20 years...Hayo yamesemwa leo na Raisi Magufuli alipokuwa akikabidhiwa report na CAG.
Amedai kuwa reserve ya Bank of Tanzania imekuwa nakufikia $5 billion. Ambayo inauwezo wakuendesha nchi kwa kipindi cha miezi sita(6 month) kama ikitokea emergency yoyote.
Pia amedai pesa yakujenga striglers dam yakuzalisha MW 2,100 ipo. Pia pesa ya 700km za SGR zipo.
Pamoja nayote amedai zaidi ya mabenki 7 makubwa duniani yameshakuja yakitaka kuikopesha Tanzania kwa interest rate ya hadi chini ya 3% kwenye miradi yake mikubwa yakimaendeleo. Hii imetokana na mabenki kuona Tanzania ikisimamia miradi yake mikubwa bila mikopo.
MY TAKE: Kenya kwa sasa kweli iko na reserve au wamesha itafuna kwakulipa madeni??
Pia tutegemee mradi wa SGR kufika kila kona ya Tanzania kama ilivyo kwa barabara.
Naona kuna umuhimu wa Magufuli kuongezewa muda wakutawala Tanzania. Tumpe 20 years.
Kuangalia hayo maongezi ya JPM anzia katikati kwa mbele kidogo inapokalibia kuisha.
Sorry, that was by June, 2017 which was the latest KBC bANKING SECTOR PUBLICATION. However by end of October, 2017 the reserves dwindled to 7.2B$ which is enough to cover 4.8 months of imports.
"The CBK level of usable foreign exchange reserves stood at USD 7.2 billion (4.8 months of import cover) at the end of October 2017 compared with USD8.3 billion (5.5 months of import cover) at the end of April 2017. These reserves, together with the Precautionary Arrangements with the IMF, equivalent to USD1.5 billion, continued to provide an adequate buffer against short term shocks in the foreign exchange market." - 19th Bi -annual Report of The MPC.
https://www.centralbank.go.ke/uploads/monetary_policy_reports/687846906_19th MPC REPORT - October 2017.pdf
Message sentKwanza kabisa kumsifu mwanamme mwenzangu, kama sifa zinastahili, si hatari wala ajabu.
Labda unaweza kuona hatari au ajabu kama unajishtukia kwamba wewe kumsifu mwanamme mwingine kunapunguza uanaume wako ndiyo unaweza kuona hatari.
Wewe mwenyewe umeweka avatar ya mwanamme mwenzako hapo. Hiyo ni zaidi ya kumsifu. Umemparatia kabisa.
Pili, sijamsifu mtu, nineonesha jinsi chumi zetu zilivyo ndogo kiasi kwamba hazina ya nchi inakuwa ni fedha ambayo mtu mmoja tu anaweza kupoteza na kurudisha katika muda mfupi.
Tatizo kilichosemwa chenye kina hujaona, umeenda kuona jina la mtu.