Bank of Tanzania has a RESERVE of $5 Billion.

Kumbe kesi haijaisha? Imekuaje hukumu inekuwa registered USA, UG, Canada. Pelekeni prop zenu Kampala muone.
 
Kumbe kesi haijaisha? Imekuaje hukumu inekuwa registered USA, UG, Canada. Pelekeni prop zenu Kampala muone.
Lengo la hizi forum ni kujuzana na kuelimishana, sasa kama husemi kile unachokijua badala yake unazungumza kimafumbo hutopata jibu lolote la maana, endelea kulimbikiza ujinga.
 
Ogopa sana mtu anaerudiaridia kila wakati jambo fulani.....tunajenga SGR kwa fedha zetu (zipi?).

Kuna frustration na kuna ndoto atofautishe hilo kwanza.
Wewe unajua fedha zipi za Tanzania?, huwezi kuuliza kitu usichokijua, kwanza eleza pesa ipi ya nchi unayoijua ndipo ujibiwe hizo anazosema pesa zetu.
 
Billioni tano ya dollar, mkuu hio sio billioni tano ya Tanzania, na sio pesa kidogo. Mimi ni mkenya lakini siwezi kubali upotoke. Hii dunia hakuna msanii anaye dollar billioni 5. Hata Dr. Dre au J.Z hawana.
Jibu mubasharA...utani pembeni hizi thread watu hawasomi huishia comment tu...sikutegemea useme $5bln pesa ndogo...ajabu kwelkwel
Hivi hata mie nimeshangaa sana, BL 5 si ni pesa ambayo wasanii tu wanakuwa nayo, kumbe ndo balance ya nchi nzima
 
Naona watu wana taja Bill gates na Dangote!! Hivi ikipigwa hesabu ya networth ya Tz au Kenya kama zinavyo pigwa networh ya hao mna wataja kuna tajiri ambae ana weza akatia pua!
 
Yani 5 bills tu jamani , aisee hii nchi inalaana ...........A bancrupted nation full of poverty ........... Hahahaha! Donor country yenye 5 Bills $ as a reserve..........WTF ! Hivi kumbe Dangote anaweza kutununua kama mara tatu hivi ..........Holy God ! Nikipata mtoto nitahakikisha haishi nchi hii iliyooza umaskini from its top all the way to its bottom ...........Tunahaki ya kuitwa Mashitholes aisee tupambane na hali zetu

Teh teh teh teh teh .....
 
Anamjengea nani SGR!! Sema tume ipa kazi kampuni kutoka nchi yake na tuna ilipa kwa pesa zetu wenyewe. Kama mtu anavyo muajili house helper au accountant.
Kipindi cha kampeni vitu alivyokuwa anaongea tulidhani ndoto
Lkn sahv kavitekeleza vyote
 
Dangote is richer than BOT's reserve.

Kuna wakati watanzania tusifurahie baadhi ya vitu. Vinatufanya tuonekane kama tuna akili za kimasikini.

Tungekuwa na reserve ya kuanzia $50B ndo tuongee. Ila hiko kiasi ni kidogo mnoooo.
Kuna mijitu inaona tuko vizuri
 
Lkn katika waliojitokeza ndie pekee anaejua kuiongoza nchi
Wengine tutajaribujaribu na kurudishwa nyuma
 
Hivi na wewe kweli unamuamini huyu baba. Si ndio huyu alisema alikuta sukari tsh 5000/
Vipi mbona hana bil 78 kulipia deni la ndege zije??
Nina elf10 benki lkn siwezi kumpa mtu shilingi mia anaenidai kidhurumati
 
Watu wengine hawanaga sence, ni kuropoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…