Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Unachukua sh ngp bank kias kwamba hata ukifika ofsin kwako hauhesabu!!

Ww una shida kubwa sana maana sisi tunahesabu pesa kabla ya kuzichanganyaau kuanza kuzitumia. Sasa ww ulikua unachukua pesa tu bila kuhesabu unaItumia!
 
Siyo tu kwenye maburungutu, muda mwingine wanakupiga wakati wa kuhesabu.

Ukiwapa wanazidondosha chini kwa aujanja halafu anakuambia imepelea inabidi uongezee.

Umakini unahitajika.
Uongo kuna camera hawezi kufanya hivo
 
Mwanangu Mimi ndio siwezi kwasababu kwa siku natoa mara tatu au mbili na natoa millioni 20 nitaweza kukaaa na kuesabu kweli
Milion 20 unashindwa kuhesabu[emoji23], mimi milion 20 za elf 10 au elf 5 natumia dk 20 tu kwa mkono
 
mashine ile inahesabu noti hai nzima ambazo hazijachoka ikishachoka wanaitenga wanahesabu kwa mkono.

ukipewa chenchi ndio unapewa zile ambazo hazihesabiwi na mashine,shida inaanzia hapo.

utaweza hesabu bank mabunda ya buku na buku mbili milioni 10
Bank gn hiyo wanakupa pesa chafu ambazo zinatemwa na machine?
 
Duuuh, kwamba zile Camera huwa haziwaoni!? Wasiwasi wako tu.
 
Sidhani kama ni kweli....lakini sawa tumesikia tutakuwa makiniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…