Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
👇👇👇
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba haya maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
sasa weee jamaa,unategemea wamiminia vipo miyoyo yao????,wa2 wanaiba mpaka sadaka kanisani!! muuza duka nae anrekebisha mzani!!!,manabii wnauza udongo wa buza kwa ku2danganya umetoka ISRAIL!!,michango ya mafuriko ya manyoni kuna wa2 si ajabu wanalamba!!!"this is bongo jamaa"
 
Mi kuna siku hapo UDBS Miaka ya Nyuma kidogo nilipeleka mpunga sikuendakuchukua ila nilipeleka kuweka , nilipeleka m3.5 na nilihesabu vyema na kujiridhisha vizuri kwamba hela ilitimia, wakati niko na bank nishamkabidhi zile hela na akaweka kwenye counting mashine , ghafla nilipigiwa simu maana sikuwa nimezima, nilisahu kuzima hii ni kawaida wengi huwa tunaona sio na wakati mwingine tunapuuza tu. Ile najikunja kuchukua simu mfukoni either nistishe call kwa muda, kumbuka hela nishakabidhi benchi la bank teller anahesabu na kimashine chake, nilivyomalizana na simu ile bank teller ananiambia umeandika kuweka M3.5 lakini hela hazijafika, zipo million tatu laki nne na themanini , nilichoka japo nilijua pale pale kuwa nimeingizwa corridoni baada tu y ile simu.

Bank teller baadhi sio waaminifu, tuwe makini .
Wadada warembo halafu wezi
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
👇👇👇
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba haya maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
Tumejua una maburungutu, hongera zako
 
Usisahau na hili.ukishtukia umepewa pesa bandia bank usijaribu kuwaambia wamekupa pesa bandia"

Ukifanya hivyo uta pigwa chini ya ulinzi na polisi walinzi na kupewa kesi ya uhujumu uchumi

na si hayo tu pia ni wa choleshaji kwa wale wazee wa front/gun man
Kwa nini? Kwani kamera za Benki si zinaonesha mchakato mzima au?
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
👇👇👇
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba haya maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.


Huwezi tafuta hela kwa shida na Jasho halafu uchukue bila kuhesabu.
 
Pesa bandia ndio mchezo wao![emoji23][emoji23] Unabambikizwa fake notes za 30,000/=
Kwa hiyo Hawa staff wanazitoa wapi hizo pesa bandia Hadi zinaingia kwenye system ya bank na kuwapa wateja?

Kuna siku nitakuja kuwauliza watu wa Fedha na Polisi ,ufanye nini ukipewa pesa bandia bank? Je ukigundua ukasema nibadikishie watakataa?
 
Madirisha yapo ya aina 2.

Kuna ya light cash na bulk cash.

Kule bulk cash kuna kiti kabisa unakaa unaangaliana na teller kwa sababu kuna msoto mkubwa.

Huku kwenye light cash hakuna kiti bali watu husimama au husubiria kwenye viti waitwe ila wakati wa huduma husimama.

Kwenye light cash kusimama siyo shida. Ila tatizo linaanza pale ambapo mtu wa bulk cash aidha anatoa au ana deposit kwenye dirisha la lght cash. Unaweza ukasubiri 40 minutes.
Ni upuuzi wa Baadhi ya matela Kwa nini wasiwaambie waende kwenye dirisha la bulk cash? Huwa Wanaboa sana,unakuja jitu limejaza mabulungutu kwenye begi harafu anakuja kupanga foleni.
 
Kwa hiyo Hawa staff wanazitoa wapi hizo pesa bandia Hadi zinaingia kwenye system ya bank na kuwapa wateja?

Kuna siku nitakuja kuwauliza watu wa Fedha na Polisi ,ufanye nini ukipewa pesa bandia bank? Je ukigundua ukasema nibadikishie watakataa?
sidhani kama utajibuwa jibu la uhakika zaidi ya kupewa siasa kwamba Pesa Bandia Bank hazipo.
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba haya maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
Pale kaunta kuhesabu haiwezekani,ila mwambie azipitishe kwenye mashine kabla ya kukupatia wewe kodoa macho mashine inakwambia ziko ngapi.
Simple!!!
 
Back
Top Bottom