Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

hiyo ishawahi mkuta mtu wangu wa karibu ana walikua wote wadada muweka hela na mpokeaji (teller) kapewa anasema hela haijakamilika dada kamwambia hizo hela zimehakikiwa na watu zaidi ya wawili.

Teller anabisha akaambiwa angalia huko chini na mtu akaangalia akaikuta akasema eti hakuiona wakati inadondoka anaomba samahani.
Ilishawah kunitokea baadhi yao wana tabia za hovyo.
 
Hiibimenikuta juzi tu ila ni kwa wakala. Kwenye bikda la Million Moja aliweka 5000. Sasa nashangaa mashine ilihesabuje mpaka ikaweka 5000 katikati ya 10,000
 
Ilishawah kunitokea baadhi yao wana tabia za hovyo.
Mzazi/Mtu yeyote anaweza kuja kuhisi mtu wake wa karibu kamuibia kumbe kaibiwa huko huko BANK,Msala wanapata waliongia ofisini/nyumba/na wa kwanza kufungua SAFE..hao watu majumba mabovu huwaangukia bila sababu za msingi.
 
Bulk withdrawal unatakiwa kuingia ndani ili upate space ya kuhesabu kwa nafasi...
na Muda wa kuhesabu nao uwe nao,inakua na maana gani sasa hela zinatoka BANK uhesabu.

Tunakoelekea hata ATM machine nazo tutaambiwa zikitoa hela tuhesabu.
 
Bulk withdrawal unatakiwa kuingia ndani ili upate space ya kuhesabu kwa nafasi...
BANK wana mashine za kuhesabia,wanawalipa watu wana vitendea kazi vyote vya kuhakiki namba.

Halafu ananipa hela nianze tena kuhesabu nadhani huu utaratibu ni wa BANK zinazopatikana TANZANIA TU.

Huwezi mwambia mteja Wa BULK ahesabu hela,nihangaike zitafuta nakuzipokea napo nihangaike zihesabu.

USELESS BANKS, sioni hata maana yao sasa kama unaweza pewa hela pungufu kwa kisingizio makosa ya kibinadamu au sikuhesabu.
 
Laki ya buku 🤣🤣🤣
IMG_20231211_153037_707.jpg


Hiyo sio nyingi mkuu ni kakutembea nacho mfukoni tu hako.

na shida sio kutembea nayo,shida ni uhesabu chenchi Milioni ya Buku.

Vibunda Kumi vyote uvihakiki,umalizane hapo uingie kwenye noti za buku mbili,uje buku 5 umalizie kuhakiki za ten ten.

Hapo ni BANK A unasafari ingine kwenda BANK B na C nk... hivi utahesabu hizo hela kila siku kwa ratiba hiyo?
 
View attachment 2839574

Hiyo sio nyingi mkuu ni kakutembea nacho mfukoni tu hako.

na shida sio kutembea nayo,shida ni uhesabu chenchi Milioni ya Buku.

Vibunda Kumi vyote uvihakiki,umalizane hapo uingie kwenye noti za buku mbili,uje buku 5 umalizie kuhakiki za ten ten.

Hapo ni BANK A unasafari ingine kwenda BANK B na C nk... hivi utahesabu hizo hela kila siku kwa ratiba hiyo?
Wewe unataka milioni ya buku kwa matumizi gani?
 
Atm inatoa mpka 10m inatokana na uwezo wa card yako...kuna card crdb inatoa 5m,kuna catd inatoa 10m kwenye atm
Atm kutoa laki 4 Mpaka itimie lengo mkuu kibarua chake si haba.

na tunaenda ndani wakat mwingine kwa ajili ya chenchi unatoa 6m unamwambia akupe buku za 500k na 2000 za 500k then 1m akupe 5000 tu, hizo burungutu unazopewa mkuu kusema uzihesabu Njaaa inauma hapo hapo.
 
sio rahisi hivyo mkuu kama walivyoandika,Kumbuka Pale kwa teller hamna kiti useme ukae uhesabu, Umesimama nusu saa kwenye foleni zamu yako inafika usimame tena uanze hesabu maburungutu ya noti zilizoshikana kazi yake si haba mzeee.

Atleast kuna Tawi CRDB wamefungua kwa ajili ya WAFANYABIASHARA wakubwa humu ndani hamna kusimama mnakaa chini kwenye SOFA mnakula kipupwe.👇👇
View attachment 2838961

Atleast Bank zote zingekua matawi yao ndani yako hivi mnakaa mtu ungepata Nguvu ya kwenda hesabu hela pale dirishani.

ila haya matawi Mengine unayowahi siti ya kusimama unaweka kabisa NAMBA unamwambia wa mbele ako "NIPO NYUMA YAKO"

Kuhesabu hela yataka Moyo Boss,Hamna kazi ngumu kama hiyo naikimbiaga mimi.
Na wafanyaniashara wakubwa sio wa viburungutu vya mil 5,10 hapo.
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba haya maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
Kuna teller mmoja aliniibia alafu namjua nakumbuka nilienda kama million sita hivi,
Nikapewa maburungutu ya million milion yakiwa sita,
Nikaona kuyahesabu pale ni jau.
Nikatia kwenye begi nikasepa,
Kwenda kuhesabu huko mbele nakuta elfu thelathini hakuna,
Yule jamaa mpaka kesho huwa nammaindi kimoyo moyo,
Ni jitu la miraba minne, mnene sana, ukimuona ni kama mstaarabu hivi kumbe mwizi.
Nakubaliana na mleta mada KWA asilimia zote
 
Kweli kabisa kuna siku nimetoka kadoo bureau de change, hela imehesibiwa vizuri nakuwa makini kabisa, nimefika holland hse yule bitch ananimbia imepungua 60k aisee nilimuwashia moto, nikaomba tuangalie camera manager akamuita yule malaya pembeni, nikaambiwa hili litashughulikiwa internally waka deposit mchongo wangu
Afu kwanini ukiwaambia issue ya tuangalie camera hawataki.....wanasolve kimyakimya,kwnini?

Kuna teller aliniambia pesa yangu imepungua 540,000....nilistuka sanaa,nkapiga hesabu zangu nikasema hapana tatizo lipo kwa teller....nkaongea na manager tuangalie kwenye camera,nikaambiwa niwape muda jioni watalishughulikia nikawa mpole,jioni nikapigiwa simu nikachukue pesa yangu.

Wapo mateller waaminifu na wengne sio waaminifu...ila kwenye pesa usimwamini mtu.
 
Afu kwanini ukiwaambia issue ya tuangalie camera hawataki.....wanasolve kimyakimya,kwnini?

Kuna teller aliniambia pesa yangu imepungua 540,000....nilistuka sanaa,nkapiga hesabu zangu nikasema hapana tatizo lipo kwa teller....nkaongea na manager tuangalie kwenye camera,nikaambiwa niwape muda jioni watalishughulikia nikawa mpole,jioni nikapigiwa simu nikachukue pesa yangu.

Wapo mateller waaminifu na wengne sio waaminifu...ila kwenye pesa usimwamini mtu.
kibali cha kuview footprints za camera za bank ruhusa yake mpaka ifike kwa mwenye CRDB yani🤣🤣😅🤣
 
Mimi huwa sizipokei mpaka teller azipitishe kwenye mashine ya kuhesabu huko naona! Tena huwa natamka wazi naomba uzipitishe kwenye mashine nione.
nimeianza hiii kitu saivi naonekana mnoko kinoma wakiniona tu unaona kabisa body language imebadlika
 
Back
Top Bottom