Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kuna kamera mle?Siyo tu kwenye maburungutu, muda mwingine wanakupiga wakati wa kuhesabu.
Ukiwapa wanazidondosha chini kwa aujanja halafu anakuambia imepelea inabidi uongezee.
Umakini unahitajika.
Zipo Sana mkuu😂😂Aisee Kuna jamaa aliwai nambia kapewa pesa bandia benki, ujue nilibisha mno[emoji848]
ni ngumu sana hiyo kazi si rahisi,unaweza zihesabia nyumbani lakini si pale bank.Uko sahihi sana mtoa mada. Noti mpya sawa, ila hizi zilizotumika ni Majanga matupu.
Wanachomoa hadi noti za elf 10.
Kwa wanaotoa pesa nyingi ni ngumu kuzihesabu zote.
ukipewa mashine popote weka namba za siri kisha click next,next hadi utoke eneo la namba ya siri ndio unampa kimashine chake aendelee nacho.Kuna benk juz kati nlienda kufungua Account kianzio nkaweka 22000 nkakabiziwa kadi baada kupewa kadi nkatakiwa kuweka namba ya Siri sasa apo kwenye namba ya siri ndo wizi unapofanyika .wana kimashine kama cha Selcom kile unaweka kadi anakichukua muhudumu wa Benk anabonyeza bonyeza anakwambia weka Namba ya siri mpya unaweka anakickukua tena yeye anachomoa kadi sasa kabla ajachomoa kadi anachomoa pesa alafu ndo anachomoa kadi anakupa Hii nchi kuna wizi wa kis**nge adi inaboa
Asa si bora uniombe kwann uichomoe bila mimi kujua?Kwenye Milioni 2 ukiibiwa elfu 3000 kwani kuna shida gani!!! Wachaga mnawaza sana hela na ndo maana ukimkuta mchaga mnene ujue huyo ni maskini....
Teller wa bank of Africa tawi la Arusha mwaka 2014 alinipiga 26000 nimempa Kia's hicho akiingize kwenye account ya brack nashanaga anasema nimempa elf laki 2 tuHuo Mchezo wanao sana na ni tabia zao unaweza ukadhani hapati marupu rupu pale ila washenzi wale wanatupiga hela sana.
Ukimpa hela muangalie mwanzo mwisho ukijifanya unawaamini kitakukuta kitu siku.
Digital money ni huko duniani kwenu mkuu sisi tunaopokea hela za wauza mkaa,wauza magenge,mama ntilie wanatuletea Pesa Live...Dunia inahamia kwenye digital money kumbe kuna watu bado mnatembea na mabegi yaliyojaa mabunda,hayo mambo kizamani sana
Kazi ya kutoa 20m Kwa ATM unaichukuliaje? ATM utakua unazurura ATM ngapi kufikisha lengo?Pole sana...badili mfumo wa kuchukua hela...toa kidogokidogo kwenye atm
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Noma sana!Usisahau na hili.ukishtukia umepewa pesa bandia bank usijaribu kuwaambia wamekupa pesa bandia"
Ukifanya hivyo uta pigwa chini ya ulinzi na polisi walinzi na kupewa kesi ya uhujumu uchumi
na si hayo tu pia ni wa choleshaji kwa wale wazee wa front/gun man
Kwa hao wazee wa gun ni kweli kabisa! Wiki kama mbili zilizopita mume wa rafiki yangu alisindikizwa na hao wazee wa mambo...!Usisahau na hili.ukishtukia umepewa pesa bandia bank usijaribu kuwaambia wamekupa pesa bandia"
Ukifanya hivyo uta pigwa chini ya ulinzi na polisi walinzi na kupewa kesi ya uhujumu uchumi
na si hayo tu pia ni wa choleshaji kwa wale wazee wa front/gun man
Bulk withdrawal unatakiwa kuingia ndani ili upate space ya kuhesabu kwa nafasi...Sio kwa haya maburungutu mkuuu,huo msemo unakua applied kwa wenye hela za kawaida.