Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Wahuni sana hao jamaa! Wanatunza noti bandia za kubambikia wateja wao
Teller anatakiwa akipokea note bandia toka kwa mteja ai punch pale pale mbele yake, asimrudishie mteja wala asiiweke bila kuitoboa mbele yake mteja kusudi asije akapewa mteja mwengine
 
Usisahau na hili.ukishtukia umepewa pesa bandia bank usijaribu kuwaambia wamekupa pesa bandia"

Ukifanya hivyo uta pigwa chini ya ulinzi na polisi walinzi na kupewa kesi ya uhujumu uchumi

na si hayo tu pia ni wa choleshaji kwa wale wazee wa front/gun man
..hii ni sawa kabisa
 
BANK wana mashine za kuhesabia,wanawalipa watu wana vitendea kazi vyote vya kuhakiki namba.

Halafu ananipa hela nianze tena kuhesabu nadhani huu utaratibu ni wa BANK zinazopatikana TANZANIA TU.

Huwezi mwambia mteja Wa BULK ahesabu hela,nihangaike zitafuta nakuzipokea napo nihangaike zihesabu.

USELESS BANKS, sioni hata maana yao sasa kama unaweza pewa hela pungufu kwa kisingizio makosa ya kibinadamu au sikuhesabu.
Bulk cash, ipo kwenye bundles, either zilofungwa na strips au zile za kwenye nylon from BOT. Kama hizo utahesabu vipi?

na cash ya hivo case ya kuwa na less notes unazipata mara ngapi?
 
Kumbe ndio maana tunao withdraw 20k wanachelewa kutuhudumia na hata wakikupa nikama wanakutupia,Asante Kwa kutufungua mijicho mkuu
20K unatoa kwa teller sio kwenye ATM? Why?

jee unajua kama withdraw bank ndani unachajiwa zaidi kuliko kwenye ATM?
 
NARUDIA TENA NA TENA BANK KUNA WIZI UNAENDELEA KUWENI MAKINI.

Nimeenda kuweka hela kidogo tu Leo, Nikatoa kama kawaida vibunda vitatu vya 10k,5k na 2k

Nimehesabu mara mbili mbili, nikafika kwakua nawajua Teller walivyo nikampa hela dirishani Nikawa makini SANA naangalia siangaliii pembeni namkodolea

Kaweka hela kwenye mashine ikahesabuu fungu la kwanza, Ikahesabu Fungu la Pili na La Tatu.

Akaniambia Bado 5,000 imepelea kwenye lile fungu la 5,000 nikamwambia Rudia kuhesabu,Akachukua zote akaweka Juu ya Mashine zikahesabu kweli imemiss 5000.

Nikamwambia NAOMBA HIZO HELA...

akazichukua hela kafungua Dirisha kanipa Nikazihesabu kwa mkono pale pale Dirishani, Hela zote Zimetimia.

Nikaziweka kama tunavyofunga hela mtaani 5000 moja unaikunja na 5000 mwenzake inakua 10,000

Nikazichukua nikamwambia Chukua HELA hizi hapa Zimekamilika.

Nikagundua WIZI mwingine either ni makusudi au bila kujua Zile mashine kuna Muda zinashika NOTI Mbili zina count kama noti 1.

Usikubali kuhesabiwa HELA kwa mashine akakuonyesha, Chukua Hela zako Hesabu kwa Mkono.

Kama una uhakika 100% hela zako ulizihakiki na yeye anakwambia mashine imehesabu zime miss, Chukua HELA hesabu hapo hapo dirishani kwa Mkono.

BANK wizi hauishi kuna njia nyingi sana wateja tunaumizwa.
 
NARUDIA TENA NA TENA BANK KUNA WIZI UNAENDELEA KUWENI MAKINI.

Nimeenda kuweka hela kidogo tu Leo, Nikatoa kama kawaida vibunda vitatu vya 10k,5k na 2k

Nimehesabu mara mbili mbili, nikafika kwakua nawajua Teller walivyo nikampa hela dirishani Nikawa makini SANA naangalia siangaliii pembeni namkodolea

Kaweka hela kwenye mashine ikahesabuu fungu la kwanza, Ikahesabu Fungu la Pili na La Tatu.

Akaniambia Bado 5,000 imepelea kwenye lile fungu la 5,000 nikamwambia Rudia kuhesabu,Akachukua zote akaweka Juu ya Mashine zikahesabu kweli imemiss 5000.

Nikamwambia NAOMBA HIZO HELA...

akazichukua hela kafungua Dirisha kanipa Nikazihesabu kwa mkono pale pale Dirishani, Hela zote Zimetimia.

Nikaziweka kama tunavyofunga hela mtaani 5000 moja unaikunja na 5000 mwenzake inakua 10,000

Nikazichukua nikamwambia Chukua HELA hizi hapa Zimekamilika.

Nikagundua WIZI mwingine either ni makusudi au bila kujua Zile mashine kuna Muda zinashika NOTI Mbili zina count kama noti 1.

Usikubali kuhesabiwa HELA kwa mashine akakuonyesha, Chukua Hela zako Hesabu kwa Mkono.

Kama una uhakika 100% hela zako ulizihakiki na yeye anakwambia mashine imehesabu zime miss, Chukua HELA hesabu hapo hapo dirishani kwa Mkono.

BANK wizi hauishi kuna njia nyingi sana wateja tunaumizwa.
Na teller nae analazimika kutumia machine maana ndio anaamini ipo accurate na inamsaidia ku detect note fake, hapo chacha!!!
 
Wale ni majambazi, waliwahi iba 20,000 kwenye hela nilizopewa nipeleke CRDB Vijana, Teller 03 alikuwa kijana na shati jeupe akaiiba, mwaka 2011

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ushuhuda!

Kwenye bulungutu la elfu mbili mbili nishapigwa kabisa tena na benki kubwa tu!

Siku niliyoshangaa zaidi ni kukuta noti kipande ya elfu 10 katika bulungutu la 1M. Tena ilikuwa benki maarufu kabisa nchini!
Kwa matukio hayo mawili siku hizi nakomaa kuhesabu kabla sijaondoka hata ziwe bukubuku 😏😏
 
Ukipewa noti chakavu kuwa makini sana.
Na za bandia zinamixiwa humo humo au zilizoharibika kabisa kwa matumizi ya jamii.
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba haya maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
No matter what!! Pesa yoyote ninayopewa popote, hata iwe imetoka kwa ATM machine lazima niihesabu. Unless kama imehesabiwa nikiona.
 
Atm kutoa laki 4 Mpaka itimie lengo mkuu kibarua chake si haba.

na tunaenda ndani wakat mwingine kwa ajili ya chenchi unatoa 6m unamwambia akupe buku za 500k na 2000 za 500k then 1m akupe 5000 tu, hizo burungutu unazopewa mkuu kusema uzihesabu Njaaa inauma hapo hapo.
C ununue machine

Sent from my FRD-L19 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom