Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

sio rahisi hivyo mkuu kama walivyoandika,Kumbuka Pale kwa teller hamna kiti useme ukae uhesabu, Umesimama nusu saa kwenye foleni zamu yako inafika usimame tena uanze hesabu maburungutu ya noti zilizoshikana kazi yake si haba mzeee.

Atleast kuna Tawi CRDB wamefungua kwa ajili ya WAFANYABIASHARA wakubwa humu ndani hamna kusimama mnakaa chini kwenye SOFA mnakula kipupwe.👇👇
View attachment 2838961

Atleast Bank zote zingekua matawi yao ndani yako hivi mnakaa mtu ungepata Nguvu ya kwenda hesabu hela pale dirishani.

ila haya matawi Mengine unayowahi siti ya kusimama unaweka kabisa NAMBA unamwambia wa mbele ako "NIPO NYUMA YAKO"

Kuhesabu hela yataka Moyo Boss,Hamna kazi ngumu kama hiyo naikimbiaga mimi.
Kuhesabu pesa ni kazi kwelikweli mkuu..njaa unaipata chapu
 
Ukiwa kauzu napo unaachwa kwenye foleni lisaa lizima tunaweka vimazoea ili atleast tupate viupendeleo.

Mkuu foleni ya Bank inakera babu tena usiombe bulk cash awe ndio anatoa mavibunda yke mi naondokaga naenda kukaa kwanza maana najua ni shida ingine.

KUNA watu ukiwakuta bank kwenye foleni mbele yako Naghairi hiyo siku hilo tawi naenda tawi jingine.
Madirisha yapo ya aina 2.

Kuna ya light cash na bulk cash.

Kule bulk cash kuna kiti kabisa unakaa unaangaliana na teller kwa sababu kuna msoto mkubwa.

Huku kwenye light cash hakuna kiti bali watu husimama au husubiria kwenye viti waitwe ila wakati wa huduma husimama.

Kwenye light cash kusimama siyo shida. Ila tatizo linaanza pale ambapo mtu wa bulk cash aidha anatoa au ana deposit kwenye dirisha la lght cash. Unaweza ukasubiri 40 minutes.
 
Kuhesabu pesa ni kazi kwelikweli mkuu..njaa unaipata chapu
wazungu kuweka mashine za kuhesabia unafkiiri wao wajinga,...

Bora uhesabu noti mpya sasa uhesabu noti za wamama wauza.mkaaa au zilizotolewa.kwenye.KIBUBU.

noti za kwenye KIBUBU ukizishika kwanza kama zina unga unga sasa mtu anakuletea alivyozipanga hata huelewi.

Unazitupia tu kwenye Drooo badae kwenye kuzichambua uzipange then uzihesabu weeee...

acheni bana hizi mambo, ma teller wao wawe tu waaminifu muda wa kuhesabu hela kaunta tutadanganyana
 
Unatakiwa kuwa bandidu unamwambia aroo geuzia huku mashine ya kuhesabia hela uangarie kwa makini. mm niliwah tumwa na bosi nikamuambia geuzi huku nitazame inavyohesabu
hahah akageuza? mkuu hawa ma teller hatuwakaziii kwasababu sisi ni wateja wa kila siku,kuna namna ukikuta ma teller wote umewakera zamu yako ikifika tu ndio nae tumbo la kuigiza linamshika anaenda chooni anakuacha umesimama hapo.

so tunaenda nao softly tu
 
Umepata bank teller sio mwaminifu mkuu...
Utaratibu wa bank ukitoa hela kwa bank teller hakikisha wakati wa kuhesabiwa unakodoa macho kama bundi... usisinzie.
Na ikitokea ukiwa na doubt hata kdg mwambie arudie kuhesabu na kama anajifanya jeuri omba kuonana na mkuu wake (head teller)....
Utaratibu wa makabidhiano ya hela ni kuhakikisha anaetoa na anaepokea wote wamehakiki usahihi wa pesa. Hio ni haki yako
Jengine mbona kuna wateja wengine nao pia sio waaminifu, wanapoenda bank kwa makusudi wanaweka pesa pungufu teller akijichanganya kdg tu keshafunga pesa less. Baadae hizo hizo ndio anakuja kupewa mteja mwengine
 
Madirisha yapo ya aina 2.

Kuna ya light cash na bulk cash.

Kule bulk cash kuna kiti kabisa unakaa unaangaliana na teller kwa sababu kuna msoto mkubwa.

Huku kwenye light cash hakuna kiti bali watu husimama au husubiria kwenye viti waitwe ila wakati wa huduma husimama.

Kwenye light cash kusimama siyo shida. Ila tatizo linaanza pale ambapo mtu wa bulk cash aidha anatoa au ana deposit kwenye dirisha la lght cash. Unaweza ukasubiri 40 minutes.
na ndio bank saivi walivyo wanatumix wateja wa bulk na wa light sababu za msingi hamna wanajua wenyewe, matawi machache sana wanaojitambua
 
Umepata bank teller sio mwaminifu mkuu...
Utaratibu wa bank ukitoa hela kwa bank teller hakikisha wakati wa kuhesabiwa unakodoa macho kama bundi... usisinzie.
Na ikitokea ukiwa na doubt hata kdg mwambie arudie kuhesabu na kama anajifanya jeuri omba kuonana na mkuu wake (head teller)....
Utaratibu wa makabidhiano ya hela ni kuhakikisha anaetoa na anaepokea wote wamehakiki usahihi wa pesa. Hio ni haki yako
Jengine mbona kuna wateja wengine nao pia sio waaminifu, wanapoenda bank kwa makusudi wanaweka pesa pungufu teller akijichanganya kdg tu keshafunga pesa less. Baadae hizo hizo ndio anakuja kupewa mteja mwengine
hili nalo tatizo
 
na ndio bank saivi walivyo wanatumix wateja wa bulk na wa light sababu za msingi hamna wanajua wenyewe, matawi machache sana wanaojitambua
Mimi huwa ninawaauliza ni kwanini madirisha yapo mengi ila teller ni mmoja?

Majibu hawana!
 
Kuna mchezo wa noti bandia, utashangaa unapeleka milioni sita unaambiwa una noti bandia 30,000/= za 10,000/= jumla
inafika wakat mtu unataka wakataa bank kabisa ila ndio ivyo bank wana umuhimu huwezi wakataa..

hamna wakala anaweza kukupa chenchi za 2m ila bank unapewa.

Hawa watu ni kuwakazia tu kwenye utendaji kazi wao.
 
Ukiwa kauzu napo unaachwa kwenye foleni lisaa lizima tunaweka vimazoea ili atleast tupate viupendeleo.

Mkuu foleni ya Bank inakera babu tena usiombe bulk cash awe ndio anatoa mavibunda yke mi naondokaga naenda kukaa kwanza maana najua ni shida ingine.

KUNA watu ukiwakuta bank kwenye foleni mbele yako Naghairi hiyo siku hilo tawi naenda tawi jingine.
Unakuta mtu ana begi mgongoni akifika analitua pale counter anaanza kuchomoa burungutu moja baada ya lingine unabaki tu hiiiiiiii
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
👇👇👇
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba hata maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
Nilitoa milioni, nikakuta kuna noti mpya ya elfu mbili badala ya efu kumi, ikawa tsh. 998,000/=.
 
Kweli kabisa kuna siku nimetoka kadoo bureau de change, hela imehesibiwa vizuri nakuwa makini kabisa, nimefika holland hse yule bitch ananimbia imepungua 60k aisee nilimuwashia moto, nikaomba tuangalie camera manager akamuita yule malaya pembeni, nikaambiwa hili litashughulikiwa internally waka deposit mchongo wangu
 
inafika wakat mtu unataka wakataa bank kabisa ila ndio ivyo bank wana umuhimu huwezi wakataa..

hamna wakala anaweza kukupa chenzi za 2m ila bank unapewa.

Hawa watu ni kuwakazia tu kwenye utendaji kazi wao.
Wahuni sana hao jamaa! Wanatunza noti bandia za kubambikia wateja wao
 
Unakuta mtu ana begi mgongoni akifika analitua pale counter anaanza kuchomoa burungutu moja baada ya lingine unabaki tu hiiiiiiii
kuna watu nikiwakuta mbele yangu naondoka hilo tawi natafuta tawi lingine.

maana wana hela kwenye mabegi,ndani ya suruali,ndani ya makoti,nikimuona tu najua hapa sitoboi nageuka naenda tawi jingine
 
Back
Top Bottom