Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Pesa yako kwanini usihesabu
Unahesabu tu .....
Pesa yako lazima ujitoe ufahamu mzee la sivyo utawafaidisha wengine

Ova
ntajaribu siku maana bank wanafanya sisi hatujielewi.

Hela ikichakaaa hawaiweki kwenye counter machine wanahesabia mikono.

halafu wao wanatoa burungutu used kweli kuna siku ntatenga muda kwa ajili yao naamini ntanuniwa hiyo siku
 
Mwanangu Mimi ndio siwezi kwasababu kwa siku natoa mara tatu au mbili na natoa millioni 20 nitaweza kukaaa na kuesabu kweli
shida ndio inapoanzia hapo bank katika hili wanaonea wateja, kweli buku buku mbili sio kitu ila wasitulazimishe sasa
 
Mi kuna siku hapo UDBS Miaka ya Nyuma kidogo nilipeleka mpunga sikuendakuchukua ila nilipeleka kuweka , nilipeleka m3.5 na nilihesabu vyema na kujiridhisha vizuri kwamba hela ilitimia, wakati niko na bank nishamkabidhi zile hela na akaweka kwenye counting mashine , ghafla nilipigiwa simu maana sikuwa nimezima, nilisahu kuzima hii ni kawaida wengi huwa tunaona sio na wakati mwingine tunapuuza tu. Ile najikunja kuchukua simu mfukoni either nistishe call kwa muda, kumbuka hela nishakabidhi benchi la bank teller anahesabu na kimashine chake, nilivyomalizana na simu ile bank teller ananiambia umeandika kuweka M3.5 lakini hela hazijafika, zipo million tatu laki nne na themanini , nilichoka japo nilijua pale pale kuwa nimeingizwa corridoni baada tu y ile simu.

Bank teller baadhi sio waaminifu, tuwe makini .
 
Siyo tu kwenye maburungutu, muda mwingine wanakupiga wakati wa kuhesabu.

Ukiwapa wanazidondosha chini kwa aujanja halafu anakuambia imepelea inabidi uongezee.

Umakini unahitajika.
hiyo ishawahi mkuta mtu wangu wa karibu ana walikua wote wadada muweka hela na mpokeaji (teller) kapewa anasema hela haijakamilika dada kamwambia hizo hela zimehakikiwa na watu zaidi ya wawili.

Teller anabisha akaambiwa angalia huko chini na mtu akaangalia akaikuta akasema eti hakuiona wakati inadondoka anaomba samahani.
 
Mi kuna siku hapo UDBS Miaka ya Nyuma kidogo nilipeleka mpunga sikuendakuchukua ila nilipeleka kuweka , nilipeleka m3.5 na nilihesabu vyema na kujiridhisha vizuri kwamba hela ilitimia, wakati niko na bank nishamkabidhi zile hela na akaweka kwenye counting mashine , ghafla nilipigiwa simu maana sikuwa nimezima, nilisahu kuzima hii ni kawaida wengi huwa tunaona sio na wakati mwingine tunapuuza tu. Ile najikunja kuchukua simu mfukoni either nistishe call kwa muda, kumbuka hela nishakabidhi benchi la bank teller anahesabu na kimashine chake, nilivyomalizana na simu ile bank teller ananiambia umeandika kuweka M3.5 lakini hela hazijafika, zipo million tatu laki nne na themanini , nilichoka japo nilijua pale pale kuwa nimeingizwa corridoni baada tu y ile simu.

Bank teller baadhi sio waaminifu, tuwe makini .
Huo Mchezo wanao sana na ni tabia zao unaweza ukadhani hapati marupu rupu pale ila washenzi wale wanatupiga hela sana.

Ukimpa hela muangalie mwanzo mwisho ukijifanya unawaamini kitakukuta kitu siku.
 
Huo Mchezo wanao sana na ni tabia zao unaweza ukadhani hapati marupu rupu pale ila washenzi wale wanatupiga hela sana.

Ukimpa hela muangalie mwanzo mwisho ukijifanya unawaamini kitakukuta kitu siku.

Sahihi mkuu
 
Sijajua kama Ina ulazima sana wa kutumia bank kama vp jioni mda wa kufunga office weka kwenye float asubuhi unazama ATM

Wabongo wababaishaji sana!

Kuna kipindi nlikuwa nikienda kuexchange aisee nlikuwa Naona kipengele kuanza kuhakiki baadae nkapata watu wa kufanya nao exchange kwa rate nzuri na uhakika hata wakikosea wanarekebisha haraka
 
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.

Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.

Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.

Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.

Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)

Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
👇👇👇
View attachment 2838836

Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba hata maburungutu huwa hayatimiii.

Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.

Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.

Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.

Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)

Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.

Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.

Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.

Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.

Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.

Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.

Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.

Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.

Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.

Nimemaliza.
Kupigwa Elfu moja au elfu mbili nacho ni kitu cha kulalamika, kufungulia uzi?
Isitoshe, wafanyakazi wote wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao.
 
Sijajua kama Ina ulazima sana wa kutumia bank kama vp jioni mda wa kufunga office weka kwenye float asubuhi unazama ATM

Wabongo wababaishaji sana!

Kuna kipindi nlikuwa nikienda kuexchange aisee nlikuwa Naona kipengele kuanza kuhakiki baadae nkapata watu wa kufanya nao exchange kwa rate nzuri na uhakika hata wakikosea wanarekebisha haraka
hebu nielekeze tena kama umeniacha hivi
 
Suala sio kuibiwa hayo maburungutu mnayapata wapi nduguzqngu😂😂 Jana nimepoteza buku 5 nimemwaga nguo karibia zote 😀
Anyway hesabuni Hela vizuri
daah😅

Naelewa inavyokua unapotafuta hela uliyokua unaitegemea.

Nimeshawahi poteza Jero kipindi kile Jero za NOTI

Nilitafuta ile hela nilirudi njia niliyopita hadi eneo nililohisi nimeidondosha kweli nikaenda nikaikuta.

Nilijikubali sana ile siku
 
Hapa si suala la kazi ya bank taller, ni suala la tabia ya wizi. Bank hazina shida ni ww umekutana na mwizi kama mwizi mwingine tu sababu tunaotoa pesa bank ni wengi na si mara zote tunaibiwa.

Ni kuongeza umakini tu na una haki ya kumwambia hesabu kwenye mashine nione kuwa zimetimia ndo unipatie.
 
Back
Top Bottom