Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

Pia CRDB mlimani city kuna jamaa naye hivyo hivyo alinipiga 20k. Nilikuwa likizo 2011.

Utawakuta wakisema mtoto wa flani very smart.
Bank teller wezi
Tena wa pale mlimani hsta majambaz
Wanakuitia
Kipindi cha nyuma mlimani olikuw sy sehemu salama
Pale km unaenda draw pesa ndefu nenda wawili ,.mwenzk muache nje ukitoka mpe ye hela we unatokq mtupu...
Watu wengi pale wameumizwa wengine uhai kupoteza

Ova
 
Atm kutoa laki 4 Mpaka itimie lengo mkuu kibarua chake si haba.

na tunaenda ndani wakat mwingine kwa ajili ya chenchi unatoa 6m unamwambia akupe buku za 500k na 2000 za 500k then 1m akupe 5000 tu, hizo burungutu unazopewa mkuu kusema uzihesabu Njaaa inauma hapo hapo.
Sema hii changamoto aisee. Anyway, kwenye accounts kibuku kwenye laki ni kama maji ya mto Msimbazi yakiingia baharini.
 
Bank teller wezi
Tena wa pale mlimani hsta majambaz
Wanakuitia
Kipindi cha nyuma mlimani olikuw sy sehemu salama
Pale km unaenda draw pesa ndefu nenda wawili ,.mwenzk muache nje ukitoka mpe ye hela we unatokq mtupu...
Watu wengi pale wameumizwa wengine uhai kupoteza

Ova
ni kweli kabisa
 
Lakini kuna notes counter pale, anaweka buku buku zikifika 100 anafunga. Unaibiwaje?
Hizo burungutu zinakua tayari packed yani akilibeba anajua hili ni Laki 5 hili ni Laki 2,nk.

Sio ufike ndio aanze kukuhesabia, hela zinazohesabiwa ni ambazo unazipeleka wewe.

Hela wanazokupa wao tayari washazifunga funga na rubber band.

Huwezi mwambia Zifungue zihesabu kwamashine
 
Atm kutoa laki 4 Mpaka itimie lengo mkuu kibarua chake si haba.

na tunaenda ndani wakat mwingine kwa ajili ya chenchi unatoa 6m unamwambia akupe buku za 500k na 2000 za 500k then 1m akupe 5000 tu, hizo burungutu unazopewa mkuu kusema uzihesabu Njaaa inauma hapo hapo.
Acha uvivu kama hutaki kuibiwa
 
hamna aliesema anashindwa hesabu hela ila MUDA ndio changamoto.

unaweza Hesabu pesa zilizochoka zaidi ya 10m counter BANK ? usiandike Theory watu tuko kwenye practical mkuu
Teller wana mashine za kuhesabia noti.

Unamuambia aweke kwenye mashine uhakiki kwa sababu mteja una nafasi ya kuona kiasi kilichohesabiwa na thamani yake.

Kitu ambacho ninakiona, wateja wengi wa 'bulk cash' huwa wanacheka-cheka sana na wale ma-teller yaani wana mazoea yaliyopitiliza kiasi kwamba hapo ndipo mnapopigiwa kwa sababu wanawaona wajinga.

Imefika mahali unahudumiwa, teller akimuona mteja mwenye hela nyingi anamuita anamuhudumia huku akiwa bado hajamaliza kumuhudumia mteja mwenye kiasi kidogo.

Kupigwa kwenu chanzo chake ni mazoea mabaya na wale ma-teller
 
Wameandika COUNT YOUR CASH BEFORE LEAVING THE COUNTER
sio rahisi hivyo mkuu kama walivyoandika,Kumbuka Pale kwa teller hamna kiti useme ukae uhesabu, Umesimama nusu saa kwenye foleni zamu yako inafika usimame tena uanze hesabu maburungutu ya noti zilizoshikana kazi yake si haba mzeee.

Atleast kuna Tawi CRDB wamefungua kwa ajili ya WAFANYABIASHARA wakubwa humu ndani hamna kusimama mnakaa chini kwenye SOFA mnakula kipupwe.👇👇


Atleast Bank zote zingekua matawi yao ndani yako hivi mnakaa mtu ungepata Nguvu ya kwenda hesabu hela pale dirishani.

ila haya matawi Mengine unayowahi siti ya kusimama unaweka kabisa NAMBA unamwambia wa mbele ako "NIPO NYUMA YAKO"

Kuhesabu hela yataka Moyo Boss,Hamna kazi ngumu kama hiyo naikimbiaga mimi.
 
Teller wana mashine za kuhesabia noti.

Unamuambia aweke kwenye mashine uhakiki kwa sababu mteja una nafasi ya kuona kiasi kilichohesabiwa na thamani yake.

Kitu ambacho ninakiona, wateja wengi wa 'bulk cash' huwa wanacheka-cheka sana na wale ma-teller yaani wana mazoea yaliyopitiliza kiasi kwamba hapo ndipo mnapopigiwa kwa sababu wanawaona wajinga.

Imefika mahali unahudumiwa, teller akimuona mteja mwenye hela nyingi anamuita anamuhudumia huku akiwa bado hajamaliza kumuhudumia mteja mwenye kiasi kidogo.

Kupigwa kwenu chanzo chake ni mazoea mabaya na wale ma-teller
Ukiwa kauzu napo unaachwa kwenye foleni lisaa lizima tunaweka vimazoea ili atleast tupate viupendeleo.

Mkuu foleni ya Bank inakera babu tena usiombe bulk cash awe ndio anatoa mavibunda yke mi naondokaga naenda kukaa kwanza maana najua ni shida ingine.

KUNA watu ukiwakuta bank kwenye foleni mbele yako Naghairi hiyo siku hilo tawi naenda tawi jingine.
 
Back
Top Bottom