Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Bar Maid wengi sio wameingia katika kazi hii kwa kupenda hii ni kazi kama kazi nyingine, nina mifano mingi sana marafiki na ndugu zetu wamepata wenzao kupitia hawa Bar Maid.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.