Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.
Mmiliki wa Forty Forty investments alikuwa ni mmoja wa wahasibu wa wizara ya utalii waliotafuna zaidi ya Billion 4 ambao Rais Magufuli aliamuru wakamatwe na kufikishwa mahakamani.
Sasa boss kubwa huyo yupo jela ananyea debe huku akipambana na kesi yake ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.
Ameshindwa kuficha hisia(chuki) yake.Paragraph ya tatu umeiandika kiushabiki sana. Jifunze ku-feel matatizo ya mwingine.
Kama alikwiba mali ya umma,afie huko huko,tena serikali ibinafsishe kila kitu na assets zilizopatikana baada ya yeye kuanza utakatishaji wa pesa,Paragraph ya tatu umeiandika kiushabiki sana. Jifunze ku-feel matatizo ya mwingine.
Huyu kaiba mali ya umma wanataka tumuonee huruma, tumuombee, tumtakie mema, tuitake serikali imuachie, watu wa hivi wana akili kweli?Kama alikwiba mali ya umma,afie huko huko,tena serikali ibinafsishe kila kitu na assets zilizopatikana baada ya yeye kuanza utakatishaji wa pesa,
USA,ukikamatwa na pesa chafu,pesa inakuwa mali ya federal government,na kila kitu ulichonunua kwa pesa ya wizi,kinachukuliwa,familia yako,inaweza,ikatupwa nje ya nyumba bila huruma.
Ulitaka nifiche chuki nionyeshe upendo kwa wizi wa mali ya umma wa mabilioni? Una akili sawasawa kweli?Ameshindwa kuficha hisia(chuki) yake.
...tumeanzisha kijiwe hapo opposite yake,..ni cha ukweli mnoDuh bar ilikuwa tamu sana,,,full malaya!
Sure, kwa malaya 40 40 haikua na masihala. Hasa VIP ilikua na malaya wa kufa mtu.
Anaitwa nani huyo mmiliki!?
Bar imefungwa au mmiliki ndio amefungwa?
Kwamba uongozi wa bar ulishindwa kujiendesha kisa boss kafungwa au namna gani?
Bar ni matokeo ya pesa ya wizi hivyo na yenyewe imefungwa, ni sehemu ya ushahidi wa wizi wa pesa yake.
Hata sielewi mkuu.
Mshikaji wa Forty Forty amekamatwa miradi mingi ikiwa haijakamilika. Sijui na yenyewe imekamatwa au kusimamishwa na serikali ama lah.
Tusubiri tuone.
Kwa sasa kitambaa cheupe ndio tunakula maisha.
Huyu kaiba mali ya umma wanataka tumuonee huruma, tumuombee, tumtakie mema, tuitake serikali imuachie, watu wa hivi wana akili kweli?
We ni mwanasheria ehBar ni matokeo ya pesa ya wizi hivyo na yenyewe imefungwa, ni sehemu ya ushahidi wa wizi wa pesa yake.
Shetani mbona anaishi vizuri, anaishi kama pepo mchafu 😀😀Anaishi kama shetani!
Huo uzuri toka kitambo ni wa wizi pia...ila huyo mwalafyale yuko vizuri tangu kitambo
Kufa kufaana Jesca meno nje hapo anakula vichwa si kitotoNiko hapa now