Tetesi: Bar ya Forty Forty Tabata imefungwa miezi zaidi ya 3, mmiliki yuko jela kesi za uhujumu uchumi

Tetesi: Bar ya Forty Forty Tabata imefungwa miezi zaidi ya 3, mmiliki yuko jela kesi za uhujumu uchumi

Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.

Mmiliki wa Forty Forty investments alikuwa ni mmoja wa wahasibu wa wizara ya utalii waliotafuna zaidi ya Billion 4 ambao Rais Magufuli aliamuru wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa boss kubwa huyo yupo jela ananyea debe huku akipambana na kesi yake ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.

Paragraph ya tatu umeiandika kiushabiki sana. Jifunze ku-feel matatizo ya mwingine.
 
Paragraph ya tatu umeiandika kiushabiki sana. Jifunze ku-feel matatizo ya mwingine.
Kama alikwiba mali ya umma,afie huko huko,tena serikali ibinafsishe kila kitu na assets zilizopatikana baada ya yeye kuanza utakatishaji wa pesa,
USA,ukikamatwa na pesa chafu,pesa inakuwa mali ya federal government,na kila kitu ulichonunua kwa pesa ya wizi,kinachukuliwa,familia yako,inaweza,ikatupwa nje ya nyumba bila huruma.
 
Kama alikwiba mali ya umma,afie huko huko,tena serikali ibinafsishe kila kitu na assets zilizopatikana baada ya yeye kuanza utakatishaji wa pesa,
USA,ukikamatwa na pesa chafu,pesa inakuwa mali ya federal government,na kila kitu ulichonunua kwa pesa ya wizi,kinachukuliwa,familia yako,inaweza,ikatupwa nje ya nyumba bila huruma.
Huyu kaiba mali ya umma wanataka tumuonee huruma, tumuombee, tumtakie mema, tuitake serikali imuachie, watu wa hivi wana akili kweli?
 
Kakamatwa,-ila nadhani yuko nje now...japo sina uhakika na hilo
Hata sielewi mkuu.

Mshikaji wa Forty Forty amekamatwa miradi mingi ikiwa haijakamilika. Sijui na yenyewe imekamatwa au kusimamishwa na serikali ama lah.

Tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom