Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Alikuwa mfuasi wa chadema ?Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.
Mmiliki wa Forty Forty investments alikuwa ni mmoja wa wahasibu wa wizara ya utalii waliotafuna zaidi ya Billion 4 ambao Rais Magufuli aliamuru wakamatwe na kufikishwa mahakamani.
Sasa boss kubwa huyo yupo jela ananyea debe huku akipambana na kesi yake ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.
Huyu sio tajiri, ni mwizi.
Mimi nafurahi pale wezi wanapokamatwa na kushughulikiwa.
Wezi wanarudisha nyuma maendeleo.
Sasa wewe kama unamchekea mpe vitu vyako sio wa umma.
...imefanywaje ?!acha uongo aisee, forty forty haijafungwa
Nahii inatokana na watu wengi kudhani umasikini wao unaletwa na mtu flani kumbe ni wivu tuAmeshindwa kuficha hisia(chuki) yake.
Baada ya Tabata Bima mbele kidogo kama unaenda segerea, mtaa unaitwa baracuda, happ ndio kuna malaya wa kufa mtu sasa hivi. Zamani palikua panaitwa copa cabana.
Aiseeeee itakuwa Figisu za Mmiliki wa The Great tu!!Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.
Mmiliki wa Forty Forty investments alikuwa ni mmoja wa wahasibu wa wizara ya utalii waliotafuna zaidi ya Billion 4 ambao Rais Magufuli aliamuru wakamatwe na kufikishwa mahakamani.
Sasa boss kubwa huyo yupo jela ananyea debe huku akipambana na kesi yake ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.
Moja hapa Tabata-Bima.Hivi 40/40 ziko ngapi tabata?
Sio kweliAiseeeee itakuwa Figisu za Mmiliki wa The Great tu!!
Dah saiv sijui tutapata wapi watoto wabichi[emoji846][emoji846][emoji846]Duh bar ilikuwa tamu sana,,,full malaya!
Wamezingua sana.Dah saiv sijui tutapata wapi watoto wabichi[emoji846][emoji846][emoji846]
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Watoto wakali wapo?Kwa sasa kitambaa cheupe ndio tunakula maisha.
Wapo mzee tabata huwa hapazingui siku hzi ka unapenda chini freshi tu kitambaa cheupe, mkongwe the great, BL park, kote huko fresh
Wakutosha ,japo sehemu ndogo
[emoji848][emoji848][emoji848]Duh bar ilikuwa tamu sana,,,full malaya!
Wewe alokwambia familia yake inapata tabu ni nani?Nahii inatokana na watu wengi kudhani umasikini wao unaletwa na mtu flani kumbe ni wivu tu
Unasema Ameiba wew ulikuwepo au tujifunze kuwa nahuruma haya bar imefungwa yeye amefingwa familia yake inapata tabu je wew katika kipato chako umeongeza kiasi gani zilitokana na bar kufungwa na mwenye bar kufungwa
Fanya kazi tunza familia yako muombee mwingine maombi mema
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app