Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
 
Asante Kwa kunikumbusha, nimekosea heading Tu ila Nilitaka kuandika picnic nkajikuta nimeandika Cocoriko, Mods watabadilisha badala ya Cocoriko waandike picnic... Asante MKuu wangu 🙏🙏
Kwani Bar ya Picnic ndio hiyo hiyo Cocoriko? Sisi ambayo sio wenyeji wa Arusha umetuchanganya.
 
Nshawahi kuchukua dada mmoja miaka ya 2018 kufika rum akataka kuniibia pesa akidhani nimelewa [emoji28][emoji28][emoji28] sikumpiga nilimtoa nje sa10alfajiri bila kumpa cent.

Bahati sana hukuwa na assets ambazo ni portable kama laptop, ungeshalia pengine huyo dada ndio alikuwa anakuangalia movement zako wakati jamaa nje anafanya yake
 
Nshawahi kuchukua dada mmoja miaka ya 2018 kufika rum akataka kuniibia pesa akidhani nimelewa [emoji28][emoji28][emoji28] sikumpiga nilimtoa nje sa10alfajiri bila kumpa cent.

Bahati sana hukuwa na assets ambazo ni portable kama laptop, ungeshalia pengine huyo dada ndio alikuwa anakuangalia movement zako wakati jamaa nje anafanya yake
Yes na Manzi alinipa Mpaka Namba yake, PC niliacha Ofsn hapa Arusha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
 
Pole, mkuu. Unless kuna mahali walisema wanahusika na ulinzi wa magari kwenye hiyo parking, sioni kama ni makosa yao. Sehemu nyingi sana za starehe, unatafuta mlinzi unamwambia akuchekie mtakutana ukitoka. Parking sehemu kama hizo na nyingine nyingi is always at your own risk, goes without saying.
 
picnic bar ni ushenzini sana, sio sehemu ya kistaarabu hata kidogo. ukienda kunywa pale uwe umejiandaa kwa lolote.

kuna siku nimeenda pale mida ya saa mbili usiku, nilikuwa natoa pesa kwenye kibanda cha jirani,makahaba yakawa yananifatilia kwa makini yajue nimetoa shilingi ngapi.

nilitoa laki moja halafu fasta nikaitisha boda na kusepa zangu.
 
Nshawahi kuchukua dada mmoja miaka ya 2018 kufika rum akataka kuniibia pesa akidhani nimelewa [emoji28][emoji28][emoji28] sikumpiga nilimtoa nje sa10alfajiri bila kumpa cent.

Bahati sana hukuwa na assets ambazo ni portable kama laptop, ungeshalia pengine huyo dada ndio alikuwa anakuangalia movement zako wakati jamaa nje anafanya yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mie nimehisi hivyo pia.
 
Mi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
picnic bar ni pa ushenzini sana, sio sehemu ya kistaarabu hata kidogo. ukienda kunywa pale uwe umejiandaa kwa lolote.

kuna siku nimeenda pale mida ya saa mbili usiku, nilikuwa natoa pesa kwenye kibanda cha jirani,makahaba yakawa yananifatilia kwa makini yajue nimetoa shilingi ngapi.

nilitoa laki moja halafu fasta nikaitisha boda na kusepa zangu.
Aiseeeh Pale picnic Hapafai, Sikanyagi Tena

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kaloleni kumekuwa Mahalia hatari sana kuna hao vijana wa bodaboda wanajulikana kwa jina la tatu mzuka wakikukuta unachezea mapanga ya kutosha wanachukua kila kitu na hapo kaloleni maaskari wapo muda mwingi sana ina maana hawajulikani Hawa tatu mzuka
picnic bar ni pa ushenzini sana, sio sehemu ya kistaarabu hata kidogo. ukienda kunywa pale uwe umejiandaa kwa lolote.

kuna siku nimeenda pale mida ya saa mbili usiku, nilikuwa natoa pesa kwenye kibanda cha jirani,makahaba yakawa yananifatilia kwa makini yajue nimetoa shilingi ngapi.

nilitoa laki moja halafu fasta nikaitisha boda na kusepa za
 
Back
Top Bottom