Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Mkuu nilifikia Kijenge Nikaona niende na Ndinga tu Maana Davoo ni Mimi Mwenyewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Arifu next time ukija chuga nitafute mdau nikupeleke viwanja vya kistaarabu kabisa at least ukiwa na raia inakuwa full.. juzi kuna bro wamempiga iphone alikuwa anatoka tu bar nje kakutana na hao sijui wana pikipiki wakamweka kati wakamla iphone wakasepa dah wizi sasa hivi ni noma sana tuwe makini sana hali ni mbaya especially at night.
 
Pole, mkuu. Unless kuna mahali walisema wanahusika na ulinzi wa magari kwenye hiyo parking, sioni kama ni makosa yao. Sehemu nyingi sana za starehe, unatafuta mlinzi unamwambia akuchekie mtakutana ukitoka. Parking sehemu kama hizo na nyingine nyingi is always at your own risk, goes without saying.
Mkuu nadhani haya mambo yanakua kama yalivyo kwasababu ya mentality kama hizi “sio makosa yao”
Unakuta baa ina walinzi kibao plus mabaunsa wanazungu zunguka tu baa kusubiri ulewe ufanye fujo wakubebe juu kwa juu wakutupe nje
Ni wajibu wa mwenye baa kuhakikisha usalama wa wateja na mali zao ikiwemo magari kuwa salama
Kuna baadhi ya baa kibaka hagusi gari lako nabkuna baa ukiibiwa we washa gari uondoke maana majibu utakayo pewa na uongozi unaweza kurusha ngumi

Haiwezekani kuzuia uhalifu kwa asilimia 100 lakini wenye ma baa wakiamua usalama wa mali za wateja hakuna kibaka anaweza kutia mguu kuvunja gari lakini wakichukulia poa na kubaki at your own risk unawapa nguvu vibaka kufanya kazi zao
 
Mkuu nadhani haya mambo yanakua kama yalivyo kwasababu ya mentality kama hizi “sio makosa yao”
Unakuta baa ina walinzi kibao plus mabaunsa wanazungu zunguka tu baa kusubiri ulewe ufanye fujo wakubebe juu kwa juu wakutupe nje
Ni wajibu wa mwenye baa kuhakikisha usalama wa wateja na mali zao ikiwemo magari kuwa salama
Kuna baadhi ya baa kibaka hagusi gari lako nabkuna baa ukiibiwa we washa gari uondoke maana majibu utakayo pewa na uongozi unaweza kurusha ngumi

Haiwezekani kuzuia uhalifu kwa asilimia 100 lakini wenye ma baa wakiamua usalama wa mali za wateja hakuna kibaka anaweza kutia mguu kuvunja gari lakini wakichukulia poa na kubaki at your own risk unawapa nguvu vibaka kufanya kazi zao

Ni parking ngapi unakuta vibao "park at your own risk"? Hivi vitu sio rahisi kama unavyozungumza, mkuu. Unless parking iko ndani ya uzio, ni ngumu sana kuhakikisha usalama wa gari lako.
 
Ni parking ngapi unakuta vibao "park at your own risk"? Hivi vitu sio rahisi kama unavyozungumza, mkuu. Unless parking iko ndani ya uzio, ni ngumu sana kuhakikisha usalama wa gari lako.

Kama baa imekaa eneo zuri kiusalama unaweza kuweka walinzi, kuna baa walinzi wapo muda wote ukifika au kuondoka watakuja kukusaidia kupaki au kutoa gari

Kuna maeneo sio rafiki parking ipo hovyo na maeneo hatarishi, hapa kuna baa zinatumia ulinzi shirikishi yaani mchawi mpe mtoto akulelee
Hapa mwenye baa anatumia vibaka wa maeneo hayo kama walinzi na anakua anawapa labda laki 2 kila mwezi, na ukifika pale hata huwezi kuwaona wapo zao maskani.... hapo hakuna kibaka atakwapua gari na ikitokea limevunjwa dk sufuri washamjua aliyepiga tukio na unaletewa vitu viliyo ibiwa

Wenye baa wengi hawataki tu kujiongeza sababu hata wakiiba vipi biashara yake anaona inakwenda tu, ila wateja wakianza kumkimbia ndio wanatia akili
 
Ile ya upande wa pili iliyotazamana na picnic ndio kuna wezi.
Kuna watu wako mule ndani kwaajili ya kuratibu matukio
 
Mi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
😂😂
 
Kama baa imekaa eneo zuri kiusalama unaweza kuweka walinzi, kuna baa walinzi wapo muda wote ukifika au kuondoka watakuja kukusaidia kupaki au kutoa gari

Kuna maeneo sio rafiki parking ipo hovyo na maeneo hatarishi, hapa kuna baa zinatumia ulinzi shirikishi yaani mchawi mpe mtoto akulelee
Hapa mwenye baa anatumia vibaka wa maeneo hayo kama walinzi na anakua anawapa labda laki 2 kila mwezi, na ukifika pale hata huwezi kuwaona wapo zao maskani.... hapo hakuna kibaka atakwapua gari na ikitokea limevunjwa dk sufuri washamjua aliyepiga tukio na unaletewa vitu viliyo ibiwa

Wenye baa wengi hawataki tu kujiongeza sababu hata wakiiba vipi biashara yake anaona inakwenda tu, ila wateja wakianza kumkimbia ndio wanatia akili

Nimekusoma, mkuu. Solution ni kwenda unaporidhika napo tu.
 
Unaenda kulewa na gari kama sio kutafuta ajali za kijinga ni nini

Unataka kustarehe Acha gari Hotel uliyofikia au nyumba uliyofikia
La sivyo ni kujitafutia majanga tu au ni show off
Yaan huo ni utumwa sasa,watu tumenunua magari ya kulewea we unasema tuyaache nyumbani kwa hiyo nipande boda au? ambaye naye kalewa.Kifupi mi nikilewa ndo ninacontroo balaa utafikiri gari ametengeneza babangu
 
Mimi ni Mkaazi wa Arusha, kwanza naona unachanganya mara cocoriko mara Picnic hata sijaelewa.

Kama ni pale Picnic mimi sio Mgeni na zile Parking ni za wazi maana kuna Bar nyingi pale hivyo ni Muhimu kutafuta Parking iliyosambamba na Bar moja na kuongea na Mlinzi wa Bar husika, nadhani hii ni common sense tu.

Hiyo tabia nyingine umeielezea sijawahi kuishuhudia wala kusikia ndio nasikia kwako, huenda kuna namna fulani uliji expose ukaonekana ni dili.
 
Mkuu nadhani haya mambo yanakua kama yalivyo kwasababu ya mentality kama hizi “sio makosa yao”
Unakuta baa ina walinzi kibao plus mabaunsa wanazungu zunguka tu baa kusubiri ulewe ufanye fujo wakubebe juu kwa juu wakutupe nje
Ni wajibu wa mwenye baa kuhakikisha usalama wa wateja na mali zao ikiwemo magari kuwa salama
Kuna baadhi ya baa kibaka hagusi gari lako nabkuna baa ukiibiwa we washa gari uondoke maana majibu utakayo pewa na uongozi unaweza kurusha ngumi

Haiwezekani kuzuia uhalifu kwa asilimia 100 lakini wenye ma baa wakiamua usalama wa mali za wateja hakuna kibaka anaweza kutia mguu kuvunja gari lakini wakichukulia poa na kubaki at your own risk unawapa nguvu vibaka kufanya kazi zao
Mbona ndio ipo hivyo, ila kwa mazingira ya Picnic pale ni ngumu kumzuia Mtu kupaki hata kama haingii kwenye Baa yako.

Nafasi ni finyu hivyo popote Mtu akiona nafasi anapaki.

Kikubwa ni kuongea na Mlinzi wa Bar unayopaki Gari, na wakati wa kutoka unamuona mambo yanaenda sawa.
 
Yaan huo ni utumwa sasa,watu tumenunua magari ya kulewea we unasema tuyaache nyumbani kwa hiyo nipande boda au? ambaye naye kalewa.Kifupi mi nikilewa ndo ninacontroo balaa utafikiri gari ametengeneza babangu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi huwa wanajidanganya hivyo kuwa wanalimudu sana gari wakiwa wamelewa

Labda wewe ni tofauti
Lakini kumbuka drink and drive is a crime
 
Wakati Huo Nimepaki Gari nje,
FSjogvbX0AAdGIB.jpeg
 
Back
Top Bottom