Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Pale panaitwa Mtakuja, utaenda tu lalashiUSeLA Mavi mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale panaitwa Mtakuja, utaenda tu lalashiUSeLA Mavi mwingi.
Wale miaka nenda rudi watu wanajaa vibaya mno.Wanajiharibia biashara
Sasa picnic wahudumu wana mizigo kama hilo lako kwa avatar...basi midume haikauki
Pole sana Mkuu,ina maana hapo kulikuwa na mawasiliano kati ya huyo mhudumu aliyesema amekuelewa na huyo mwizi.Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Ndo hicho wanaume wengi hufuata pale, wale wahudumu na zile sketi zao lazima shingo za wanaume zinageuka kuwa feniWale miaka nenda rudi watu wanajaa vibaya mno.
Wamewawwza wajinga wengi sababu wahudumu wote wana mitako balaa.
Sio sehemu ya heshima.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Umeongea point.Unaenda kulewa na gari kama sio kutafuta ajali za kijinga ni nini
Unataka kustarehe Acha gari Hotel uliyofikia au nyumba uliyofikia
La sivyo ni kujitafutia majanga tu au ni show off
Siendi Tena Mamaa Nikija ArushaPale panaitwa Mtakuja, utaenda tu lalashi
Acha Uwongo,taja hizo sehemu zingine zenye wizi.Acha woga dogo, kwa sasa utapeli na wizi uko kila sehemu.
Bora amekuchokoza angalau leo ume smileuchokozi huo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huwez kuelewa mtoto mzuri,
Huo nao si wizi tena?Ningekuwa mimi ndo wewe, huyo mwizi kabla ya kumkabidhi kwa polisi ningemsachi (namfokoa wallet na simu na kama amevaa ndula kali namchojolesha) mixer ngumi nyingi za mdomo....
Njoo aisee, hali ya hewa ya Arusha haijakuvutiaa hata, hata yale meno ya rangi ya dhahabu hajayaona,
Wapo na wamerudi Kwa Kasi sana. Ule mtaa wa Picnic Kuna midadaa inajipanga rodi kusalandia wanaumeKipindi cha Kikwete kuna ambao walikuwa wanalipia bili zao kwa kutumia dola badala ya shiling sijui kwa sasa
Nipo Arusha mpaka juma5 ijayoNjoo aisee, hali ya hewa ya Arusha haijakuvutiaa hata, hata yale meno ya rangi ya dhahabu hajayaona,
Machalii wasikutishe Man
Hivi pale nyuma ya Mtei kilombero wanapaitaje?Arifu next time ukija chuga nitafute mdau nikupeleke viwanja vya kistaarabu kabisa at least ukiwa na raia inakuwa full.. juzi kuna bro wamempiga iphone alikuwa anatoka tu bar nje kakutana na hao sijui wana pikipiki wakamweka kati wakamla iphone wakasepa dah wizi sasa hivi ni noma sana tuwe makini sana hali ni mbaya especially at night.
NakaziaUmeambiwa ni laptop ya ofisi na amepata fursa ya kuinunua tena, kwanini asifanye hivyo? Kumbavu wewe
Mtu ukimwambia haya mambo anadhani masikhara 😂Mi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
Ikitokea umedhurika na kinywaji chako ufuatiliaji ni rahisiHii imekaaje,
Counter ikawa na usalama zaidi huku wahudunu wa bar ileile ni wezi.
Yapo Mzee BabaMtu ukimwambia haya mambo anadhani masikhara [emoji23]