Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Unaonyesha wewe ni mtu wa hovyo hovyo...Utaendaje picnic..Ukifika pale tu, hata kama ni mgeni, utajua pale sio sehemu ya usalama, parking yenyewe shida...pale ni chimbo la wezi, napajua toka miaka ya 90s huko.
 
Wengine wanaenda PICNIC kufuata msosi tu wala sio kufuata pombe wala machangudoa. Kwa hizi tuhuma za wateja kuibiwa ni wakati sasa kwa mwenye baa kufanya kazi ya ziada kuajiri walinzi/sungusungu ili mteja akifika pale apate huduma vizuri na aondoke pale baa na viunga vyake salama salimini. Akiendelea kupuuzia ajiandae kukimbiwa na wateja kwani kila mtu anapenda kutumia pesa yake sehemu salama na si kwenda sehemu na pesa yako halafu upigwe au uumizwe. Na mbaya zaidi naona hapa wadau wa Arusha wameshaanza kupigia debe kwa kuzitaja kabisa baa nyingine kwa majina zenye usalama zaidi.
Wanafuata Machangudoa tu, Arusha kuna migahawa mingi sana ina chakula kizuri sana..Utaendaje picnic? Hakuna chakula chochote cha ajabu pale.
 
Unaonyesha wewe ni mtu wa hovyo hovyo...Utaendaje picnic..Ukifika pale tu, hata kama ni mgeni, utajua pale sio sehemu ya usalama, parking yenyewe shida...pale ni chimbo la wezi, napajua toka miaka ya 90s huko.
Asante Sana watu Wa Hovyo kama Sisi pia ni watu Kaka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Hivi huko Arusha utapata mwanamke wa maana kiasi akuchanganye akili?
 
Una akili za kisenge, unamuitaje mtu usiyemfaham mtu wa hovyo? Sababu ameingia picnic? Kwani kuingia sehem inasadiki wewe ni mtu wa aina gani? Embu wakati mwingine heshima kitu cha bure, ni stress hizi za kutokua na pesa au ni nini..pumbav kabisa.
Mkuu JB Mpiana
Jamaa nimemshangaa Sana, Kanizingua utafikiri mm na Yeye tunajuana. By the way Ndio maisha ya wanadamu kuwadharau wenzao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Yaani Bar haina time na usafiri wa mteja?

Hapo hao wamiliki ndio wezi wenyewe
 
Back
Top Bottom