Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Story in ukakasi, hakuna popcorn, Wala biscuit, Nimefanya majadiliano na wadau wangu mara nying Sana hapo picnic, ukienda kwa ajili ya kula tu, hakuna shida.

Sioni connection ya wizi na huyo Dada wa ndani, hata kidogo, halafu hakuna police anachukua mwizi kwa style hiyo kama mtu anayeenda sokoni kununua carrot.

The rule of a thumb, ukienda bar yeyote yenye wadada wanaojiuza, kuibiwa ni kawaida na sio kosa la Bar, ukitaka Bar ikusaidiaje sasa? Wakubusu?
 
Alinipa tahadhari Kwa maana Lile eneo ni Hatari Mzee, Kwanza pale parking yenyewe ni ts own risk

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

kila Mahala ni parking at your own risk, hata kwenye parking ya Ubalozi wa Marekani, Yani unafikiri ukiibiwa utarudishiwa au Nani anabeba hiyo risk?
 
Kwa mtu mstaarabu usiende hiyo bar ya Picnic Arusha ni pa hovyooo. Washamba wengi na usela mavi. Wahudumu ni wezi wa chenchi ukitoa elfu 20 kwenye bill yako kuwa makini wanaweza potea au kukubishia hujalipa. Yaani ni bar ya wasela mavi wanaojuana Kwa mgeni achana na mitaa hiyo kwanza michafu haswa. Ni tangu 2020 nikiwa Arusha sikanyagi hapo. WAJINGA WOTE WA ARUSHA KWAO PICNIC.
 
Soda 700 ukitoa buku wanazuga mwanaume huwezi dai change ya 300 nawe unapotezea yeye anasanya
 
Kwa mtu mstaarabu usiende hiyo bar ya Picnic Arusha ni pa hovyooo. Washamba wengi na usela mavi. Wahudumu ni wezi wa chenchi ukitoa elfu 20 kwenye bill yako kuwa makini wanaweza potea au kukubishia hujalipa. Yaani ni bar ya wasela mavi wanaojuana Kwa mgeni achana na mitaa hiyo kwanza michafu haswa. Ni tangu 2020 nikiwa Arusha sikanyagi hapo. WAJINGA WOTE WA ARUSHA KWAO PICNIC.
Sikanyagi Tena Pale, jana nilienda Cocoriko ni afadhari Kidogo Kuna ustarabu, Arusha watu wengi Wana usela Mavi
 
Mi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
Pole sana Mkuu, ilikuwaje hii?
 
Unapoenda picnic thamani yako ni ndogo mno.
Huo ni uwanja wa machangudoa.
Mtu anayejiheshimu huwezi kwenda pale.
Yaani pale hata kama napita na gari huwa napandisha vioo vya gari kabisa.

Picnic na Mrina ni mahali pa watu wa hovyo hovyo tu.
Kibaya zaidi ulionywa na bado ukaenda na eti unalalamika.
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Unapoenda picnic thamani yako ni ndogo mno.
Huo ni uwanja wa machangudoa.
Mtu anayejiheshimu huwezi kwenda pale.
Yaani pale hata kama napita na gari huwa napandisha vioo vya gari kabisa.

Picnic na Mrina ni mahali pa watu wa hovyo hovyo tu.
Kibaya zaidi ulionywa na bado ukaenda na eti unalalamika.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mkuu watu wanajifunza kulingana na makosa, imeshatokea na nimejua ni pa hovyo Sana
 
Pole, mkuu. Unless kuna mahali walisema wanahusika na ulinzi wa magari kwenye hiyo parking, sioni kama ni makosa yao. Sehemu nyingi sana za starehe, unatafuta mlinzi unamwambia akuchekie mtakutana ukitoka. Parking sehemu kama hizo na nyingine nyingi is always at your own risk, goes without saying.
Wale hawana parking maalum ni bar ya mtaani tu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom